Uongo wa Masoud Othman waumbuliwa. Kadanganya taifa kwamba "+259" ndiyo "Code" ya Zanzibar na "+255" ni ya Tanganyika wakati sivyo

Sina digrii,sina gari wala chochote cha maana kama walivyo wana JF wengi.
Kwangu hii habari ni ya kutengenezwa tu kwa lengo mahususi.
Cha muhimu ktk habari hii ni elimu tu! Ule uwezo wa kuweza kutafsiri ulichosoma.

Z'bar wanajiliza-liza sana! wanapewa favour nyingi sana kuliko watu wa Tanganyika, lakini kila siku ni kulia-lia tu! Shida ni nini?

Leo hii kuna wa-Zenj kibao wanafanyakazi ktk wizara ambazo siyo za muungano. Wakati huo huo hutakuta m-Tanganyika anafanyakazi SMZ, hata mmoja! Bado wanajiliza-liza na namba za simu.
 
Jamani mueleweni mtoa mada yeye amenukuu tu
 
Wakati umefika pande mbili hizi za muungano zikae chini kujadili maboresho ili muungano uendelee kuwa thabiti kuliko hali ilivyo sasa kila upande kulalamika juu ya hiki na kile.
 
Atakuwa alikosea kuhusu kuanzishwa kwa televisheni.

Mimi naona tatizo ni wazanzibari kutaka kuwatwika watanganyika mzigo wa matatizo yao yote! Hata yale yanayotokana na uzembe na unadhirifu wao wanasingizia JMT. Juzi juzi tuu Mwinyi ameamuru meli zilizonunuliwa na SMZ ziuzwe kwa sababu ni hasara tupu. Wote tunajua matatizo ya bandari ya Unguja yanatokana na usimazi mbovu wa SMZ. Na tunajua chuki kati ya wapemba na waunguja ndio imechangia kwa kiasi kikubwa matatizo yaliyokuwepo. Sasa hili la code nalo linataka kugeuzwa kuwa ni ushahidi kuwa JMT haiitakii mema Zanziba wakati sio kweli.

Amandla...
 
Kulikuwa hamna haja ya kumtukana.

Amandla...
 
Hajaanzisha uzi.

Kaleta habari kama research ilivyotumwa kwenye gazeti na mtafiti.

Sasa jina na namba ya mwansidhi imo unaweza kumuuliza.


Amenukuu akaamua aje kuanzisha uzi sasa tumuulize nani kama sio mwenye uzi wake? Sisi huyo mwingine hatumjui.
 
Hajaanzisha uzi.

Kaleta habari kama research ilivyotumwa kwenye gazeti na mtafiti.

Sasa jina na namba ya mwansidhi imo unaweza kumuuliza.
Wewe huna akili endelea na mambo yako.
 
Elimu nzuri kabisa. Nakupa big up
 
Mbona Tanganyika Law Society iko hadi leo?!

Tanganyika bado ipo bwashee usihadaike na wanasiasa.

Othman yuko sahihi.

..sitashangaa nikisikia Othman Masoud, Hussein Mwinyi, na Samia Suluhu, lao ni moja kuhusu Znz kutumia code ya 259.

..Wazn huwa ni kitu kimoja ktk mambo mengi dhidi ya Tanganyika, isipokuwa suala la serikali 2 au 3.

..Na kukumbushia, mikutano ya chama cha upinzani cha Znz, ACT-Wazalendo, inafanyika bila bugudha na mazuio ya vyombo vya dola.
 
Sasa huko kuumbuliwa kuko wapi? Wakati mwingine mihemko ndio huonesha picha halisi ya mhusika
 
Masoud kaumbuliwa kudanganya kuhusu hizo codes. Kwani wewe umesomaje hadi ukakosa kuona.

Sasa huko kuumbuliwa kuko wapi? Wakati mwingine mihemko ndio huonesha picha halisi ya mhusika
 
Ndugu Paschal Mayala, Unatuzingua wazenji, Utumbu usituletee na kuitwa kiongozi wetu muongo halikubaliki. Sisi wazenji tuna mila na desturi zetu na kuna lugha ya kutumia ambayo haileti hisia za chuki. Mwandishi wa nakala hii na mletaji wake ni watu dhaifu sana. Ni watu wenye chuki na ubaya wa roho juu ya zanzibar. Kwa ufupi wazanzibari wamechoka kuhusu kero za muungano na usanii wa viongozi watanzania. The first opportunity we get, we'll be out of this UNION."
 
Tokeni, kwani nani anawataka
 
Namba +259 siyo yenu Masoud ni mwongo kaumbuliwa na Joseph.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…