Uongo wa Masoud Othman waumbuliwa. Kadanganya taifa kwamba "+259" ndiyo "Code" ya Zanzibar na "+255" ni ya Tanganyika wakati sivyo

Paschal Mayalla anahusika vipi na suaka hili.

 
Unampaje sifa mleta mada kwa article aliyoikopi gazetini na kutuletea humu.

Tena bahati nzuri ina jina na contact za mtafiti.
Aaah kumbe! Tunaita plagiarism!

Ila siku moja jamaa alichapisha thread yangu ya humu Jamii Forum kwenye gazeti la Mwananchi bwana, na akaweka jina lake bila hata kusema ameichukua toka thread ya Jamii Forum! Anyway, kwa kuwa ilisaidia watu wengi zaidi kupata ujumbe niliotoa sikuona ni tatizo. Thread yenyewe aliyoichukua na kuchapisha Mwananchi kama makala yake hii hapa chini;


Huyu mwandishi wa Mwananchi Juma Bakari kaamua kukopi uzi wangu kwenye JF na kuuchaopisha gazetini bila hata kusema kaitoa hiyo habari JF!
 
Angalia hii: na hata kabla ya hii kulikuwa na code tafauti kupiga Zanzibar. sisi watu wazamani tunajuwa.
Kama upo Zanzibar unataka kupiga bara au mikoani kulikuwa na code. nakama upo bara ukitaka kupiga Zanzibar una piga.
Hiyo Code ipo na unassigned mpaka leo.
Pia kuna Radio frequensy za FM za zanzibar zinatumiwa na CCM na AM wanazo na shortwave wanazo.

Two Channel za TV zimechukuliwa na TBC

Changes in the 1968 CCITT White Book... the list was then titled Recommendation E.161 / Q.11. Changes listed in order of country code:


+1 - Antigua (territory added)
- Barbados (territory added)
- British Virgin Islands (territory added)
- Cayman Islands (territory added)
- Dominica (territory added)
- Grenada (territory added)
- Montserrat (territory added)
- St Kitts (territory added)
- St Lucia (territory added)
- St Pierre & Miquelon (territory added)
- St Vincent (territory added)
x Guatemala (CHANGED to country code +500)
x Mexico (CHANGED to country code +52)
x Netherlands Antilles (CHANGED to country code +599)
+240 - Equatorial Guinea (NEW)
+243 - Congo (Dem. Rep. of the) (Name change)
+259 - Zanzibar (NEW)
+260 - Zambia (Name Change)
+263 - Rhodesia (Name Change)
+266 - Lesotho (Name Change)
+267 - Botswana (Name Change)
+269 - Comoro Islands (Name Change)
+355 - Albania (NEW - changed from +405)
+358 - Finland (NEW - changed from +401)
+359 - Bulgaria (NEW - changed from +403)
+36 x Turkey (CHANGED to +90)
+36 - Hungary (NEW - changed from +402)
+37 - East Germany (added - announced in ITU Notification #980 of
10 March 1966)
+40 - Romania (NEW - changed from +404)
+500 - Guatemala (NEW - changed from +1)
+52 - Mexico (NEW - changed from +1)
+599 - Netherlands Antilles (NEW - changed from +1)
+65 - Singapore (NEW - became independent of Malaysia +60 code)
+681 - Wallis and Futuna (NEW)
+686 - Gilbert & Ellice Islands (NEW)
+90 - Turkey (NEW - changed from +36)
+968 - Sultanate of Muscat & Oman (NEW)
+969 - Southern Yemen (Name Change)
+971 - Trucial States (NEW)
+973 - Bahrain (NEW)
+974 - Qatar (NEW)
 
Lakini mpaka sasa hiyo code unassigned
 
Lakini mpaka sasa hiyo code unassigned
Ndio. Zanzibar wakiitaka wanaweza kuiomba pale watakapotimiza masharti. Njia rahisi kwa wao kuipata ni kuvunja Muungano halafu wakaiomba kama nchi iliyo mwanachama wa Umoja wa Mataifa. Haiwezi kupatikana ndani ya Muungano.

Amandla...
 
Sio namba tuu, Tanzania ni Tanganyika kuanzia bendera na kila kitu. In practice Tanganyika imeivamia Zanzibar na kujiongezea mipaka (nukuu ya katiba ya Tanganyika ndio inavyosema Zanzibar ni sehemu ya Tanganyika).

Najua watanganyika watanuna, lakini practical translation ya muungano wetu hauna tofauti na ukoloni period.
 
Huyo masoud siyo mtu rafiki na muungano. Kama 255 ni namba ya tanganyika na 259 ni ya zanzibar atuambie ya tanzania ni ngapi. Maana wenye kuweka hizo namba wanaonyesha 255 ni ya tanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…