Uongozi Hospitali ya Sekou Toure unafahamu hili?

Uongozi Hospitali ya Sekou Toure unafahamu hili?

johnmashilatu

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2010
Posts
841
Reaction score
909
Nimefika clinic ya NHIF saa 08.03, hadi kutika saa 09.15 hakuna daktari vyumba vyote 1-3. Maelezo yanatolewa kuwa wako "round". Tunadubiti dakika kama kumi anapatikana daktari mmoja( chumba no1).

Kuna wagonjwa zaidi ya 50, tunasubiri kudra ya wakuu hawa. Sasa ni saa 09.57 hakuna dalili ya kuongezeka daktari mwingine.

Tunapenda kuwapongeza kwa kujoresha huduma kwani zinatolewa kwa wakati kwani ukifikabjospitali ni lazima siku hiyo shuguli nyinhine zisimame.
 
Unawasimanga wakati hujapata huduma? Soon watakuja hapo kwenye foleni kuwakejeli.

Na ukiingia ndani utakuta anaongea na simu 10mins ndo anakusikiliza huku anachat.
 
Unawasimanga wakati hujapata huduma? Soon watakuja hapo kwenye foleni kuwakejeli.

Na ukiingia ndani utakuta anaongea na simu 10mins ndo anakusikiliza huku anachat.
Tumewazoea. Hata hii nji kejeli. Saa 10.45 sijamwona daktari?
 
Mara nyingi hospitali nyingi asubuhi huanza na vikao (clinica meeting), ambavyo hujumuisha wafanyakazi wa kada mbali mbali katika hospitali ili kujadili matatizo mbali mbali yanahusu wagonjwa na kuyatafutia ufumbuzi.
 
Back
Top Bottom