Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 3,340
- 4,659
Ndugu zangu
Sitapenda kuleta mizunguko mingi kwanza tayari tumeshachoka na siasa za nchi kwa kuendelea kujadili bila kufanyiwa mabadiliko katika mifumo(input or output) katika maswala tofauti kama vile uchumi,siasa,jamii n.k
Leo naomba kujibiwa ni jambo gani linafanya mtu kuwa kiongozi katika ngazi ya familia,mtaa,mkoa,taasisi n.k
1.nguvu
2.ushawishi
3.Mamlaka
Na ikiwa ni nguvu kwanini watawaliwa huchallenge nguvu zako,labda kama ushawishi pia kwanini wanachallange??
Nimemaliza
Sitapenda kuleta mizunguko mingi kwanza tayari tumeshachoka na siasa za nchi kwa kuendelea kujadili bila kufanyiwa mabadiliko katika mifumo(input or output) katika maswala tofauti kama vile uchumi,siasa,jamii n.k
Leo naomba kujibiwa ni jambo gani linafanya mtu kuwa kiongozi katika ngazi ya familia,mtaa,mkoa,taasisi n.k
1.nguvu
2.ushawishi
3.Mamlaka
Na ikiwa ni nguvu kwanini watawaliwa huchallenge nguvu zako,labda kama ushawishi pia kwanini wanachallange??
Nimemaliza