Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 3,340
- 4,659
VyoteNdugu zangu
Sitapenda kuleta mizunguko mingi kwanza tayari tumeshachoka na siasa za nchi kwa kuendelea kujadili bila kufanyiwa mabadiliko katika mifumo(input or output) katika maswala tofauti kama vile uchumi,siasa,jamii n.k
Leo naomba kujibiwa ni jambo gani linafanya kuwa kwa kiongozi katika ngazi ya familia,mtaa,mkoa,taasisi n.k
1.nguvu
2.ushawishi
3.Mamlaka
Na ikiwa ni nguvu kwanini watawaliwa huchallenge nguvu zako,labda kama ushawishi pia kwanini wanachallange??
Nimemaliza
How does followers Question about exist leadership/power n.k?Vyote
uongozi ni kutenda haki. haki ikikosekana ni bureNdugu zangu
Sitapenda kuleta mizunguko mingi kwanza tayari tumeshachoka na siasa za nchi kwa kuendelea kujadili bila kufanyiwa mabadiliko katika mifumo(input or output) katika maswala tofauti kama vile uchumi,siasa,jamii n.k
Leo naomba kujibiwa ni jambo gani linafanya mtu kuwa kiongozi katika ngazi ya familia,mtaa,mkoa,taasisi n.k
1.nguvu
2.ushawishi
3.Mamlaka
Na ikiwa ni nguvu kwanini watawaliwa huchallenge nguvu zako,labda kama ushawishi pia kwanini wanachallange??
Nimemaliza
Uongozi wa kidemokrasia ni ushawishi na mamlaka kwa mujibu wa sheria. Nguvu ni matumizi ya shuruti ya vyombo vya dola.Ndugu zangu
Sitapenda kuleta mizunguko mingi kwanza tayari tumeshachoka na siasa za nchi kwa kuendelea kujadili bila kufanyiwa mabadiliko katika mifumo(input or output) katika maswala tofauti kama vile uchumi,siasa,jamii n.k
Leo naomba kujibiwa ni jambo gani linafanya mtu kuwa kiongozi katika ngazi ya familia,mtaa,mkoa,taasisi n.k
1.nguvu
2.ushawishi
3.Mamlaka
Na ikiwa ni nguvu kwanini watawaliwa huchallenge nguvu zako,labda kama ushawishi pia kwanini wanachallange??
Nimemaliza
Uongozi ni hekima na busara.Ndugu zangu
Sitapenda kuleta mizunguko mingi kwanza tayari tumeshachoka na siasa za nchi kwa kuendelea kujadili bila kufanyiwa mabadiliko katika mifumo(input or output) katika maswala tofauti kama vile uchumi,siasa,jamii n.k
Leo naomba kujibiwa ni jambo gani linafanya mtu kuwa kiongozi katika ngazi ya familia,mtaa,mkoa,taasisi n.k
1.nguvu
2.ushawishi
3.Mamlaka
Na ikiwa ni nguvu kwanini watawaliwa huchallenge nguvu zako,labda kama ushawishi pia kwanini wanachallange??
Nimemaliza