Uongozi ni utayari na wito

Uongozi ni utayari na wito

Joined
Apr 11, 2024
Posts
24
Reaction score
55
Kupitia Uongozi wa Viongozi Wetu, Tunajifunza Ushupavu na Hekima Kubwa Katika Kukabiliana na Mambo Ya Kijamii, Kitaifa, Kimataifa, na Mmoja mmoja.

Tunajifunza Kuwa Uongozi Ni Kuwa Mfano Pale Ambapo Hauna Mfano. Hujui Nini Ufanye. Hujui Vipi Ukabiliane

Tunajifunza Kuwa Uongozi Ni Kuwa Tayari Kuwa Katika Pande Zote Za Sifa Njema na Mbaya.

Tunajifunza Kuwa Uongozi Ni Kujilinda Kiakili, Kimwili, Na Kiroho, Kutokana Na Vile Adui Hachagui Silaha Ya Kutumia

Tunajifunza Kuwa Uongozi Ni Vita. Si Mahali Pa Kutegemea Amani. Uongozi wa Yeyote Hauwezi Kufurahisha Watu Wote. Tukimrejea Nabii Issa (BWANA YESU) Alitenda Mema Yote Lakini Bado Hakufurahisha Watu Wote... Bado Alipitia Usaliti, Upinzani, Na Mateso Makali

Tunajifunza Kuwa Uongozi Ni Ualimu. Wewe Ndiye Unayepaswa Kuwafundisha Unaowangoza na Usiowaongoza, Njia. Watu Huweza Kukurejelea. Watu Huweza Kujiboresha. Watu Huweza Kuwa Wapya, Kupitia Kiongozi

Tunajifunza Kuwa Uongozi Ni Umakini wa Hali Ya Juu. Tunapaswa Kuwa Makini Katika Kufanya Maamuzi..... Kwani Ndiyo Yatayoamua Malengo Yetu ✍️View attachment 498D8DBC-5E39-4F16-8FF9-4C7964C5BD3D.jpeg

UONGOZI NI UTAYARI NA WITO ✍️

#KAZIIENDELEE 🇹🇿
 
Kupitia Uongozi wa Viongozi Wetu, Tunajifunza Ushupavu na Hekima Kubwa Katika Kukabiliana na Mambo Ya Kijamii, Kitaifa, Kimataifa, na Mmoja mmoja.

Tunajifunza Kuwa Uongozi Ni Kuwa Mfano Pale Ambapo Hauna Mfano. Hujui Nini Ufanye. Hujui Vipi Ukabiliane

Tunajifunza Kuwa Uongozi Ni Kuwa Tayari Kuwa Katika Pande Zote Za Sifa Njema na Mbaya.

Tunajifunza Kuwa Uongozi Ni Kujilinda Kiakili, Kimwili, Na Kiroho, Kutokana Na Vile Adui Hachagui Silaha Ya Kutumia

Tunajifunza Kuwa Uongozi Ni Vita. Si Mahali Pa Kutegemea Amani. Uongozi wa Yeyote Hauwezi Kufurahisha Watu Wote. Tukimrejea Nabii Issa (BWANA YESU) Alitenda Mema Yote Lakini Bado Hakufurahisha Watu Wote... Bado Alipitia Usaliti, Upinzani, Na Mateso Makali

Tunajifunza Kuwa Uongozi Ni Ualimu. Wewe Ndiye Unayepaswa Kuwafundisha Unaowangoza na Usiowaongoza, Njia. Watu Huweza Kukurejelea. Watu Huweza Kujiboresha. Watu Huweza Kuwa Wapya, Kupitia Kiongozi

Tunajifunza Kuwa Uongozi Ni Umakini wa Hali Ya Juu. Tunapaswa Kuwa Makini Katika Kufanya Maamuzi..... Kwani Ndiyo Yatayoamua Malengo Yetu [emoji3578]View attachment 2965116

UONGOZI NI UTAYARI NA WITO [emoji3578]

#KAZIIENDELEE [emoji1241]
Nalaumu sana mfumo wa elimu yetu, Badala ya kutrain mind ku think tuna karirishwa tu.

Nina uhakika ungepata elimu bora usingekuwa unafanya uchawa, nalaumu sana mfumo wa elimu
 
Unasali kanisa gani J..??
Juma pili naomba nije tufanye maombi kanisani kwenu..😉
 
Back
Top Bottom