OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Maana yake ni kwamba mzungu akipigwa kadi Simba haitakua na kocha kwenye bechi. Maana yake mzungu akiugua ghafla Simba haitakuwa na kocha. Maana yake Simba inapoteza hela kuajiri assistant coach hahitajiki. Sidhani kama aliajiriwa kubaki na wachezaji wasiosafiri.
Tunajua kuna gogoro,litatueni sio kutukejeri mashabiki. Tukiamua hiyo Kirumba hamtakaa muamini