toto zuli
JF-Expert Member
- Aug 20, 2012
- 265
- 279
kutokana na sakata na claus kumekuwepo na uzushi baadhi ya blogs kuwa channel five hawatarusha pia kipindi cha
lady jay dee..na kutopigwa nyimbo zake...katika kituo hiki....
leo mkurugenzi wa redio one,chanel 5,capital redio ndugu joyce mahavile amesema kipindi cha lady jay dee kitaendelea kuwepo wao hawafungamani...na yoyote....stesheni yao ipo kwa ajili ya kusaidia watu...kwa hiyo amewatoa hofu
mashabiki kuwa nyimbo za lady jay dee wataendelea kupiga na kipindi cha albamu ya lady jay dee kitakuwepo
source;chanel five...
lady jay dee..na kutopigwa nyimbo zake...katika kituo hiki....
leo mkurugenzi wa redio one,chanel 5,capital redio ndugu joyce mahavile amesema kipindi cha lady jay dee kitaendelea kuwepo wao hawafungamani...na yoyote....stesheni yao ipo kwa ajili ya kusaidia watu...kwa hiyo amewatoa hofu
mashabiki kuwa nyimbo za lady jay dee wataendelea kupiga na kipindi cha albamu ya lady jay dee kitakuwepo
source;chanel five...