Pre GE2025 Uongozi wa JamiiForums tuleteeni Tundu Lissu awe na kikao nasi

Pre GE2025 Uongozi wa JamiiForums tuleteeni Tundu Lissu awe na kikao nasi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Mwenyekiti wa Chairman Mh. Tundu Lissu ni kiongozi wa chama aliyebeba maono ya wengi humu JamiiForums. Ni maono ya kuiona Tanzania ikipiga hatua. Tofauti na kiongozi wengi wa serikali na CCM, Tundu Lissu amekuwa kiongozi asiyeogopa kujadiliana na kuhojiana na yeyote popote.

Kwa hiyo, tunaomba uongozi wa JamiiForums Maxence Melo kumuomba Tundu Lissu afanye kikao nasi hapa Jamiiforums. Tunayo mengi ya kumshauri, kumhoji na kumtia moyo. Tunataka kumpa maoni yetu juu ya No No reforms No Election.

Mh Lissu ni member humu JamiiForums, tunaweza kuweka utaratibu mzuri wa kujadili kwa utulivu. Lipo Jukwaa la Great Thinker ambalo anaweza kulitumia kujadili huku akipokea maswali na maoni kutoka Jukwaa la Siasa na Jukwaa la Great Thinkers.

Naomba kuwasilisha
c.c Moderator
Tundu Lissu
John Mnyika
 
Mwenyekiti wa Chairman Mh. Tundu Lissu ni kiongozi wa chama aliyebeba maono ya wengi humu Jamiiforums. Ni maono ya kuiona Tanzania ikipiga hatua. Tofauti na kiongozi wengi wa serikali na CCM, Tundu Lissu amekuwa kiongozi asiyeogopa kujadiliana na kuhojiana na yeyote popote.

Kwa hiyo, tunaomba uongozi wa Jamiiforums Maxence Melo kumuomba Tundu Lissu afanye kikao nasi hapa Jamiiforums. Tunayo mengi ya kumshauri, kumhoji na kumtia moyo. Tunataka kumpa maoni yetu juu ya No No reforms No Election.

Mh Lissu ni member humu Jamiiforums, tunaweza kuweka utaratibu mzuri wa kujadili kwa utulivu. Lipo Jukwaa la Great Thinker ambalo anaweza kulitumia kujadili huku akipokea maswali na maoni kutoka Jukwaa la Siasa na Jukwaa la Great Thinkers.

Naomba kuwasilisha
Mnataka mgao WA toneytoney
 
Mwenyekiti wa Chairman Mh. Tundu Lissu ni kiongozi wa chama aliyebeba maono ya wengi humu Jamiiforums. Ni maono ya kuiona Tanzania ikipiga hatua. Tofauti na kiongozi wengi wa serikali na CCM, Tundu Lissu amekuwa kiongozi asiyeogopa kujadiliana na kuhojiana na yeyote popote.

Kwa hiyo, tunaomba uongozi wa Jamiiforums Maxence Melo kumuomba Tundu Lissu afanye kikao nasi hapa Jamiiforums. Tunayo mengi ya kumshauri, kumhoji na kumtia moyo. Tunataka kumpa maoni yetu juu ya No No reforms No Election.

Mh Lissu ni member humu Jamiiforums, tunaweza kuweka utaratibu mzuri wa kujadili kwa utulivu. Lipo Jukwaa la Great Thinker ambalo anaweza kulitumia kujadili huku akipokea maswali na maoni kutoka Jukwaa la Siasa na Jukwaa la Great Thinkers.

Naomba kuwasilisha
c.c Moderator
Tundu Lissu
John Mnyika
Nani kakutuma kutusemea!
 
Mwenyekiti wa Chairman Mh. Tundu Lissu ni kiongozi wa chama aliyebeba maono ya wengi humu Jamiiforums. Ni maono ya kuiona Tanzania ikipiga hatua. Tofauti na kiongozi wengi wa serikali na CCM, Tundu Lissu amekuwa kiongozi asiyeogopa kujadiliana na kuhojiana na yeyote popote.

Kwa hiyo, tunaomba uongozi wa Jamiiforums Maxence Melo kumuomba Tundu Lissu afanye kikao nasi hapa Jamiiforums. Tunayo mengi ya kumshauri, kumhoji na kumtia moyo. Tunataka kumpa maoni yetu juu ya No No reforms No Election.

Mh Lissu ni member humu Jamiiforums, tunaweza kuweka utaratibu mzuri wa kujadili kwa utulivu. Lipo Jukwaa la Great Thinker ambalo anaweza kulitumia kujadili huku akipokea maswali na maoni kutoka Jukwaa la Siasa na Jukwaa la Great Thinkers.

Naomba kuwasilisha
c.c Moderator
Tundu Lissu
John Mnyika
Huenda ni wazo zuri, lakini si wakati sahihi.
Hawa viongozi wapya wa chama wanayo kazi kubwa sana mbele yao inayo hitaji kufanyika, tena kwa muda mfupi sana!
Sasa waje hapa, sijui siku nzima au hata saanzima wakivutana na watu kama Pascal, Tlatlaa, Choice variable na wengine wa aina hiyo! Sioni manufaa ya kazi hiyo.

Mimi napendekeza Katibu Mkuu na timu yake wafanye (tena) ule utaratibu ulio kuwepo zamani; walete kikosi cha vijana wao mahiri hapa JF kufanya kazi ya kuchuja mbichi na mbivu, halafu wanawasilisha mbivu kwa hao viongozi kuzitazama hizo mbivu na kuzitumia mahali panapo stahili.

Faida ya kufanya hivyo ni kuwaanda vijana wao na kuwa wakomavu huko mbele ya safari. Tutapata viongozi wengine wa kesho kutokana na hao hao vijana.
 
Mwenyekiti wa Chairman Mh. Tundu Lissu ni kiongozi wa chama aliyebeba maono ya wengi humu Jamiiforums. Ni maono ya kuiona Tanzania ikipiga hatua. Tofauti na kiongozi wengi wa serikali na CCM, Tundu Lissu amekuwa kiongozi asiyeogopa kujadiliana na kuhojiana na yeyote popote.

Kwa hiyo, tunaomba uongozi wa Jamiiforums Maxence Melo kumuomba Tundu Lissu afanye kikao nasi hapa Jamiiforums. Tunayo mengi ya kumshauri, kumhoji na kumtia moyo. Tunataka kumpa maoni yetu juu ya No No reforms No Election.

Mh Lissu ni member humu Jamiiforums, tunaweza kuweka utaratibu mzuri wa kujadili kwa utulivu. Lipo Jukwaa la Great Thinker ambalo anaweza kulitumia kujadili huku akipokea maswali na maoni kutoka Jukwaa la Siasa na Jukwaa la Great Thinkers.

Naomba kuwasilisha
c.c Moderator
Tundu Lissu
John Mnyika
Kabla la chochote joulize CCM inalikubali hilo linajipendezesha, naomba usiniulize suali kwamba Jf inamilikiwa na CCM au ina mkono katoka jf.
 
Naunga mkono hoja.
Siungi mkono.
Lissu aje kupoteza muda hapa kupoteza na akina Tlaatlaah, Pascal, et al., kwa manufaa gani badala ya kushughulikia mikakati ya kuwahusisha wananchi huko mitaani na kwingineko kuwahimiza kuikomboa nchi yao?

Tayari kuna watu humu humu JF wanaodai wao wapo ndani ya chama. Kwa nini hawa wasiwasilishe michango yenye faida inayoletwa humu kwa viongozi wa chama?
Sasa watu wanataka Lissu awe kila mahala, hii itawezekana kweli?

Mkuu 'imhotep', mimi nilidhani watu kama wewe mpo karibu na baadhi ya viongozi wa huko ndani ya chama. Kwa nini msisaidie angalau kumfikishia mtu kama Katibu Mkuu au mwakilishi wake michango mnayo iona kuwa ya manufaa ili chama kiitumie?
Hawa viongozi watapata wapi muda wa kufanya kila kitu wao wenyewe kila sehemu?
Kama wewe ni mwanachama wa CHADEMA, au mpenzi tu wa chama hicho, utashindwa nini kuwasilisha mawazo mazuri uliyo yaona JF kwenye chama?
 
Back
Top Bottom