Pre GE2025 Uongozi wa JamiiForums tuleteeni Tundu Lissu awe na kikao nasi

Pre GE2025 Uongozi wa JamiiForums tuleteeni Tundu Lissu awe na kikao nasi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kweli kabisa aletwe huku tumuhoji mambo ya maana jana waandishi wa habari wamepoteza fursa muhimu ya kumhoji mambo ya maana!
 
Siungi mkono.
Lissu aje kupoteza muda hapa kupoteza na akina Tlaatlaah, Pascal, et al., kwa manufaa gani badala ya kushughulikia mikakati ya kuwahusisha wananchi huko mitaani na kwingineko kuwahimiza kuikomboa nchi yao?
Kujadili na sisi ni kupoteza muda? Wewe kuandika hapa ni kupoteza muda? Nimeshauri namna bora ya kujadiliana naye hasa kwa kutumia Jukwaa la Great Thinkers
 
Jukwaa la Great Thinkers
Hapa umekuwa 'specific'.
Mimi sijawahi kufika huko, lakini najuwa JF, Siasa; ndiyo maana sioni sababu au faida, na hata 'technically' inavyo weza kuwa jambo la tija kwa kiongozi kama yeye kuja hapa.
Elewa ninacho zungumzia na mapendekezo ninayo wasilisha kama mbadala.
 
Hapa umekuwa 'specific'.
Mimi sijawahi kufika huko, lakini najuwa JF, Siasa; ndiyo maana sioni sababu au faida, na hata 'technically' inavyo weza kuwa jambo la tija kwa kiongozi kama yeye kuja hapa.
Elewa ninacho zungumzia na mapendekezo ninayo wasilisha kama mbadala.
Ulisema huoni faida kwa kuwa kuna members wataleta fujo. Kutumika Jukwaa la Great Thinker ni namna bora ya kuthibiti fujo. Moderator wanajua, hata kipindi fulani tukifanya hivyo na Zitto na tulienda vizuri. Jukwaa la GT sio kila mtu ana access, tupo Great Thinkers wachache tu kule 😂😂
Kwa hiyo kutakuwa na threads mbili, Jukwaa la Siasa na yeye atajibu kupitia GTs
 
Mwenyekiti wa Chairman Mh. Tundu Lissu ni kiongozi wa chama aliyebeba maono ya wengi humu JamiiForums. Ni maono ya kuiona Tanzania ikipiga hatua. Tofauti na kiongozi wengi wa serikali na CCM, Tundu Lissu amekuwa kiongozi asiyeogopa kujadiliana na kuhojiana na yeyote popote.

Kwa hiyo, tunaomba uongozi wa JamiiForums Maxence Melo kumuomba Tundu Lissu afanye kikao nasi hapa Jamiiforums. Tunayo mengi ya kumshauri, kumhoji na kumtia moyo. Tunataka kumpa maoni yetu juu ya No No reforms No Election.

Mh Lissu ni member humu JamiiForums, tunaweza kuweka utaratibu mzuri wa kujadili kwa utulivu. Lipo Jukwaa la Great Thinker ambalo anaweza kulitumia kujadili huku akipokea maswali na maoni kutoka Jukwaa la Siasa na Jukwaa la Great Thinkers.

Naomba kuwasilisha
c.c Moderator
Tundu Lissu
John Mnyika
Clubhouse na Jambo TV hajapata airtime ya kutisha mkaona mumlete na humu. Mshaurini asije akakimbia maana sio wote humu ni nyumbu. Wengine tuna free thinking!
 
Mwenyekiti wa Chairman Mh. Tundu Lissu ni kiongozi wa chama aliyebeba maono ya wengi humu JamiiForums. Ni maono ya kuiona Tanzania ikipiga hatua. Tofauti na kiongozi wengi wa serikali na CCM, Tundu Lissu amekuwa kiongozi asiyeogopa kujadiliana na kuhojiana na yeyote popote.

Kwa hiyo, tunaomba uongozi wa JamiiForums Maxence Melo kumuomba Tundu Lissu afanye kikao nasi hapa Jamiiforums. Tunayo mengi ya kumshauri, kumhoji na kumtia moyo. Tunataka kumpa maoni yetu juu ya No No reforms No Election.

Mh Lissu ni member humu JamiiForums, tunaweza kuweka utaratibu mzuri wa kujadili kwa utulivu. Lipo Jukwaa la Great Thinker ambalo anaweza kulitumia kujadili huku akipokea maswali na maoni kutoka Jukwaa la Siasa na Jukwaa la Great Thinkers.

Naomba kuwasilisha
c.c Moderator
Tundu Lissu
John Mnyika
Naunga mkono hoja.
 
Mwenyekiti wa Chairman Mh. Tundu Lissu ni kiongozi wa chama aliyebeba maono ya wengi humu JamiiForums. Ni maono ya kuiona Tanzania ikipiga hatua. Tofauti na kiongozi wengi wa serikali na CCM, Tundu Lissu amekuwa kiongozi asiyeogopa kujadiliana na kuhojiana na yeyote popote.

Kwa hiyo, tunaomba uongozi wa JamiiForums Maxence Melo kumuomba Tundu Lissu afanye kikao nasi hapa Jamiiforums. Tunayo mengi ya kumshauri, kumhoji na kumtia moyo. Tunataka kumpa maoni yetu juu ya No No reforms No Election.

Mh Lissu ni member humu JamiiForums, tunaweza kuweka utaratibu mzuri wa kujadili kwa utulivu. Lipo Jukwaa la Great Thinker ambalo anaweza kulitumia kujadili huku akipokea maswali na maoni kutoka Jukwaa la Siasa na Jukwaa la Great Thinkers.

Naomba kuwasilisha
c.c Moderator
Tundu Lissu
John Mnyika
Una akili
 
Ulisema huoni faida kwa kuwa kuna members wataleta fujo. Kutumika Jukwaa la Great Thinker ni namna bora ya kuthibiti fujo. Moderator wanajua, hata kipindi fulani tukifanya hivyo na Zitto na tulienda vizuri. Jukwaa la GT sio kila mtu ana access, tupo Greath Thinkers wachache tu kule. Jwa hiyo kutakuwa na threads mbili, Jukwaa la Siasa na yeye atajibu kupitia GTs
Mimi siingii huko, siyo kwa sabau siwezi. Nilipo soma pendekezo lako nilijuwa una maana ya JF Siasa.

Pamoja na yote hayo, bado nabaki na mapendekezo mbadala kama nilivyo yawasilisha.
 
Back
Top Bottom