Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe acha porojo maskini mkubwa wa fikra tena umbwa Koko kabisa..Hii team inahitaji wachezaji kama 8 wa uhakika
Nilishangaa jana iliponunua kocha mpya
Kanoute,mzamiru,na wengine wengi hao wote ni Average player's
Viongozi kama hamna pesa za usajiri semeni wadau wa soka tuwachangie
Guvu moya kutokea kwenye kile kideo kilichorekodiwa na ali kamwe mkicheza uchi?Wewe acha porojo maskini mkubwa wa fikra tena umbwa Koko kabisa..
Yaani uchangie timu ya mwamedi wewe kama nani???
Simba gufu moya[emoji123][emoji123][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huna akiliHii team inahitaji wachezaji kama 8 wa uhakika
Nilishangaa jana iliponunua kocha mpya
Kanoute,mzamiru,na wengine wengi hao wote ni Average player's
Viongozi kama hamna pesa za usajiri semeni wadau wa soka tuwachangie
Pole sana naskia Mlandege wamewachomeka cha nguruwe mmebaki kulialia tu kama yatima[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Guvu moya kutokea kwenye kile kideo kilichorekodiwa na ali kamwe mkicheza uchi?
Hatuna shida na bonanza ambalo wacheza uchi na wafuga misukule wanashirikiPole sana naskia Mlandege wamewachomeka cha nguruwe mmebaki kulialia tu kama yatima[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa mtachukua kombe gani lingine[emoji848][emoji848]?? Au kombe la caf [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hatuna shida na bonanza ambalo wacheza uchi na wafuga misukule wanashiriki
Kuwafunga wacheza uchi fc ni kombe toshaSasa mtachukua kombe gani lingine[emoji848][emoji848]?? Au kombe la caf [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mudhahil amesema anataka Yanga Sasa tumlazimishe??Kama kamshindwa mudhadhiri tu atamnunua nani?
Mandalizi ya timu yanazidi gharama za kombe tunashiriki tu kuyapa heshima hayo mashindano ila mwenye akili timamu hawezi shiriki hilo bonanzaNdo mlikuwa mabingwa
Ila Dunia kweli inazunguka jamani. Leo hii furaha yenu imetoweka kabisaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuwafunga wacheza uchi fc ni kombe tosha
Mashabiki wa Tanzania wanawashwa.Yani tim za tanzania zikifungwa mech moja tu baaaasi mashabik nyuzi zinanza
Sasa Simba nani anazo akili? Maana tunajua Yanga wapo wawili, je Simba? Rage alisema wanasimba wote ni mbu x 3Mandalizi ya timu yanazidi gharama za kombe tunashiriki tu kuyapa heshima hayo mashindano ila mwenye akili timamu hawezi shiriki hilo bonanza
Tujifunze kurejea mapito ya Arsenal wakati ule.Yani tim za tanzania zikifungwa mech moja tu baaaasi mashabik nyuzi zinanza
UaneniHuna akili
Yaani mbu amchangie binadamu damu?Hii team inahitaji wachezaji kama 8 wa uhakika
Nilishangaa jana iliponunua kocha mpya
Kanoute,mzamiru,na wengine wengi hao wote ni Average player's
Viongozi kama hamna pesa za usajiri semeni wadau wa soka tuwachangie