mpenda arage
JF-Expert Member
- Nov 10, 2015
- 1,677
- 3,806
Utafikiri huwa unachangia chochote.Hii team inahitaji wachezaji kama 8 wa uhakika
Nilishangaa jana iliponunua kocha mpya
Kanoute,mzamiru,na wengine wengi hao wote ni Average player's
Viongozi kama hamna pesa za usajiri semeni wadau wa soka tuwachangie
Timu imetoka kumpiga Prisons wiki moja tu iliyopita, goli 7-1! Halafu unasema ina average players!!Hii team inahitaji wachezaji kama 8 wa uhakika
Nilishangaa jana iliponunua kocha mpya
Kanoute,mzamiru,na wengine wengi hao wote ni Average player's
Viongozi kama hamna pesa za usajiri semeni wadau wa soka tuwachangie
Kabla hatujaenda mbali, mahitaji hayo ni kwa mujibu wa nani?Hii team inahitaji wachezaji kama 8 wa uhakika...
Huyo Mzungu amereje lini kikosini, tangu alipo ondoka kwa jeuri?
Halafu unafahamu Sadio Kanoute anaitwa Putin ma mashabiki wake, kutokana na kukaba sana!!
Watu wanapakuana mavi huku wanaimba eeeeeh mayeleeeee eeeehh mayeleeeeeeGuvu moya kutokea kwenye kile kideo kilichorekodiwa na ali kamwe mkicheza uchi?
Ww hujui mpira bali unaongozwa na mihimko mtu anaye jua mpila hawezi kushauri timu imuache kiungo kama kanuti.Kama Ningekuwa kwenye maamuzi.
Ningefyeka Wachezaji wafuatao.
1. Peter Banda.
2. Victor Akpan.
3. Dejan Dejevic Mzungu.
4.Mohamed Ottara.
5. Sadio Kanute.
6. Emarson Okwa.
7.Okra na Onyango wajihadhari.
Ww kilaza kweli sasa unaniuliza kuhusu kucheza yanga na Azam kwani kanouti ni mchezaji wa hizo timu?Kanuti anajua nini?
Kwa Akili yako kanoute akienda yanga ataanza?
Akienda azamu ataanza?
Kwani uliqmbiwa simba inatengeneza timu ya kumkamia utopolo basi? Simba focus yetu tuchukue kombe la CAFCL panapo majaliwa nyie kazaneni na hayo masantula yenuSimba Kwa kikosi iki haiwezi mfunga yanga tuache uongo
Hao wawili wenyez kalaghabaho zipo nyuzi humu zikimsema huyo mmoja mwenye mahaba niue n utopolo mpaka anaharibu mpiraSasa Simba nani anazo akili? Maana tunajua Yanga wapo wawili, je Simba? Rage alisema wanasimba wote ni mbu x 3
Mkuu usihangaike na hilo lijinga halijitambui, anatolea mfano AZAM na yanga eti Kanoute hawezi kucheza, huu ni upuuzi wa hali ya juu.Ww kilaza kweli sasa unaniuliza kuhusu kucheza yanga na Azam kwani kanouti ni mchezaji wa hizo timu?
Kanye wewe kama mimi natafuta kichaka sawa mcheza uchi fc?Ata NBC ni vivyo hivyo acha kutafuta kichaka
Hawezi kupata namba singida kwa sababu sio mchezaji wa singida bali ni mchezaji wa simba kwa hiyo punguza ujinga.Hawezi pata number ata singida uyo kiungo ambae ata turn zinamshinda
Kuna cha maana chochote umendika hapa?Huna hoja zaidi ya matusi
Sawa ashura mtamu kumbe unauzaMkifikisha point sita Kundi lenu niite Ashusha mtamu
Kwani wewe mpira huwa unaangalia wapi avic town ukiwa unacheza uchi mbele ya msukule kambole?Ivi mpira unaangalizia mkundun* kanoute ni mchezaji wa kutambia?
Mkifikisha point sita Kundi lenu niite Ashusha mtamu
Pole dada ashura mtamuYour very special stupid
Simba hatuna plastic fan kama wewe kacheze unakochezaga wewe ni utoUmethibitisha ulivyo punguwah mkuu sio kila anae iponda.simba ni yanga Mimi shabiki wa Azam niliekuwa simba zamani kwaiyo naongea uhalisia
Pesa ipo hata ya kukununua wewe uwe uncheza uchi wakati wa mazoezi ya timu bunju sawaIla haiondoi fact kuwa simba msimu huu ni takataka
Pesa hamna
Niko pale!Timu imetoka kumpiga Prisons wiki moja tu iliyopita, goli 7-1! Halafu unasema ina average players!!
Hebu fafanua vizuri ili mashabiki wenzako wakuelewe. Timu imemtambulisha kocha wa Kibrazil! Ni wakati sasa wa mashabiki kusubiria Pira Brazil! Pira Samba.
Yaani Kibu Dennis atageuka kuwa Neymar Jr, au Vinicius Jr, John Bocco atakuwa Ronaldo De Lima, Joash Onyango atakuwa Thiago Silva, Jonas Mkude atakuwa ndiyo Carsemilo, Aishi Manula atakuwa Alisson Becker,nk.