Huu uongozi wetu ukiwasikia wanavyojitutumua kwenye media utawajua wana mipango thabiti kweli kumbe janja tu
View attachment 1134184
Wachezaji wa Simba wakilala chumba kimoja watu zaidi ya ishirini na kula kwa mama ntilie
Hii ndio Simba ya kisasa tujaondanganywa na yule bilionea?