bullar
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 9,530
- 20,988
Moja kwa moja kwenye topic, Napenda kuwashauri viongozi wa Simba kuachana na Vunja bei amekwisha proof failure tangu day one, kila msimu anakuja na excuse zisizo na msingi, imagine leo tarehe 15 jezi ya mashindano ya kimataifa ambayo ali ahidi itakua tayari ipo sokoni bado haija ingia sokoni
Leo nmesikia Ahmed Ali anasema mzigo ume kwama kutoka China wanasahau walituambia sasa hivi jezi za Simba zinatoka Europe sio China, kwani Yanga wao jezi zao wanawezaje kufanikisha bila kuchelewa? Mechi inachezwa tarehe 18 mpaka sasa jezi haipo sokoni! Inafikirisha sana
Leo nmesikia Ahmed Ali anasema mzigo ume kwama kutoka China wanasahau walituambia sasa hivi jezi za Simba zinatoka Europe sio China, kwani Yanga wao jezi zao wanawezaje kufanikisha bila kuchelewa? Mechi inachezwa tarehe 18 mpaka sasa jezi haipo sokoni! Inafikirisha sana