M-TZ1
Member
- Jun 3, 2020
- 79
- 133
Hatakama ni bure.. ndiyo nini hiki tunaangalia hapa Uhuru Stadium..?
Tumekuja kuagalia mpira ila hapa kinachoendelea ni gwaride la maafande makuruta wa mataifa mbalimbali ya Afrika.
Mchezo ilibidi uanze saa nne kamili asubuhi, ila hadi muda huu kwenye pitch kuna makuruta yanapiga gwaride
Kama game hakuna tuambieni tuondoke basi.
Tumekuja kuagalia mpira ila hapa kinachoendelea ni gwaride la maafande makuruta wa mataifa mbalimbali ya Afrika.
Mchezo ilibidi uanze saa nne kamili asubuhi, ila hadi muda huu kwenye pitch kuna makuruta yanapiga gwaride
Kama game hakuna tuambieni tuondoke basi.