NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Yanga imejaa mataahira tupu.Simba Ina Mbumbumbu wengi sana.....
Ndg, Rage apewe Maua yake....Yanga imejaa mataahira tupu.
Simba nao ni wa kuwaamini? Si ujiulize zile 20bn wanazosema kila siku kuwa Mo keshaziweka benki, aliweka benki gani na lini?Baada ya Jonas Mkude kwenda Yanga Sc msemaji wa Simba sc Ahmedy Ally alijinadi mbele ya Media na kusema kuwa jezi namba ishirini itastaafishwa kutokana na heshima kubwa aliyoiweka klabuni hapo.
Cha kushangaza jezi namba 20 kapewa mchezaji mwengine bila taarifa kwa mashabiki Kama ilivyozungumzwa mwanzo.
Uongozi wa Simba sc ujitokeze hadharani uombe radhi kwa kuwadanganya mashabiki.
View attachment 2700734
Wewe unaumia roho kwani shabiki wa Simba...halafu kugawa namba au kutokuwaga namba wala siyo suala la mashabiki.Baada ya Jonas Mkude kwenda Yanga Sc msemaji wa Simba sc Ahmedy Ally alijinadi mbele ya Media na kusema kuwa jezi namba ishirini itastaafishwa kutokana na heshima kubwa aliyoiweka klabuni hapo.
Cha kushangaza jezi namba 20 kapewa mchezaji mwengine bila taarifa kwa mashabiki Kama ilivyozungumzwa mwanzo.
Uongozi wa Simba sc ujitokeze hadharani uombe radhi kwa kuwadanganya mashabiki.
View attachment 2700734
Simba Ina Mbumbumbu wengi sana.....
Rage atakumbukwa kwa kweli, yuko sahihi sana...
Baada ya Jonas Mkude kwenda Yanga Sc msemaji wa Simba sc Ahmedy Ally alijinadi mbele ya Media na kusema kuwa jezi namba ishirini itastaafishwa kutokana na heshima kubwa aliyoiweka klabuni hapo.
Cha kushangaza jezi namba 20 kapewa mchezaji mwengine bila taarifa kwa mashabiki Kama ilivyozungumzwa mwanzo.
Uongozi wa Simba sc ujitokeze hadharani uombe radhi kwa kuwadanganya mashabiki.
View attachment 2700734
Acha kuandika uongo, hawakustaafisha jezi baada ya mkude kwenda yanga waliistafisha baada ya kelele kuwa hajaachwa kwa heshima, ila alivyoenda yanga wakaamua kuirudishaBaada ya Jonas Mkude kwenda Yanga Sc msemaji wa Simba sc Ahmedy Ally alijinadi mbele ya Media na kusema kuwa jezi namba ishirini itastaafishwa kutokana na heshima kubwa aliyoiweka klabuni hapo.
Cha kushangaza jezi namba 20 kapewa mchezaji mwengine bila taarifa kwa mashabiki Kama ilivyozungumzwa mwanzo.
Uongozi wa Simba sc ujitokeze hadharani uombe radhi kwa kuwadanganya mashabiki.
View attachment 2700734