Uongozi wa Simba sc unapaswa kuitisha press conference kabla ya mchezo ili kuwaandaa mashabiki kisaikolojia

Uongozi wa Simba sc unapaswa kuitisha press conference kabla ya mchezo ili kuwaandaa mashabiki kisaikolojia

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2016
Posts
10,587
Reaction score
13,425
Nimesikia Kuna mashabiki wakitamba kuwa Al ahly atapigwa goli 3 bila wengine wanaropoka kuwa "mwarabu atapigwa sita maana kwamkapa hatoki mtu"

Kwa mtu timamu mwenye akili timamu na weledi wa football hawezi kuropoka maneno Kama hayo akiwa na kikosi Kama Simba sc mbele ya al ahly.

Kupitia jukwaaa hili pendwa na lenye wasomaji wengi sana NALIA NGWENA nauomba uongozi wa Simba sc uiitishe press conference kabla ya mchezo ili iwaandae kisaikolojia mashabiki watakao ingia na matokeo mfukoni ili lolote litakalo wakuta Simba sc liwe ni Jambo la kawaida tu.

Nawatahadharisha viongozi wa Simba sc wasipofanya hivyo basi tutawakosa ndugu zetu watakao ingia na matokeo mfukoni.

Tukutane kwa mkapa.
 
Nimesikia Kuna mashabiki wakitamba kuwa Al ahly atapigwa goli 3 bila wengine wanaropoka kuwa "mwarabu atapigwa sita maana kwamkapa hatoki mtu...
Na kibaya zaidi mechi inapigwa ijumaa, waarabu wakishaswali swala ya ijumaa wanajiandaa kwenda uwanjani, kwa muelewa atakuwa kanielewa ninachomaanisha, mwakarobo Awana bahati na ushirikina wao safari hii🤣🤣🤣
 
Nimesikia Kuna mashabiki wakitamba kuwa Al ahly atapigwa goli 3 bila wengine wanaropoka kuwa "mwarabu atapigwa sita maana kwamkapa hatoki mtu"

Kwa mtu timamu mwenye akili timamu na weledi wa football hawezi kuropoka maneno Kama hayo akiwa na kikosi Kama Simba sc mbele ya al ahly.

Kupitia jukwaaa hili pendwa na lenye wasomaji wengi sana NALIA NGWENA nauomba uongozi wa Simba sc uiitishe press conference kabla ya mchezo ili iwaandae kisaikolojia mashabiki watakao ingia na matokeo mfukoni ili lolote litakalo wakuta Simba sc liwe ni Jambo la kawaida tu.

Nawatahadharisha viongozi wa Simba sc wasipofanya hivyo basi tutawakosa ndugu zetu watakao ingia na matokeo mfukoni.

Tukutane kwa mkapa.
Mpira una matokeo yasiyotabirika, trust me brother.
 
Nimesikia Kuna mashabiki wakitamba kuwa Al ahly atapigwa goli 3 bila wengine wanaropoka kuwa "mwarabu atapigwa sita maana kwamkapa hatoki mtu"

Kwa mtu timamu mwenye akili timamu na weledi wa football hawezi kuropoka maneno Kama hayo akiwa na kikosi Kama Simba sc mbele ya al ahly.

Kupitia jukwaaa hili pendwa na lenye wasomaji wengi sana NALIA NGWENA nauomba uongozi wa Simba sc uiitishe press conference kabla ya mchezo ili iwaandae kisaikolojia mashabiki watakao ingia na matokeo mfukoni ili lolote litakalo wakuta Simba sc liwe ni Jambo la kawaida tu.

Nawatahadharisha viongozi wa Simba sc wasipofanya hivyo basi tutawakosa ndugu zetu watakao ingia na matokeo mfukoni.

Tukutane kwa mkapa.
Nyani wa pori la utopolo mnateseka sana wiki hii na bado mtateseka sana huu ni mwanzo tu.
 
Tayari prees ishaitishwa na klabu ya Yanga.
👇
images (2).jpeg
 
we matko kama hutaki watu wenye mawazo tofauti na wewe wachangie thread zako andika huo utopolo wako chooni kwako ili mumeo na wanao wakusifie ila ukileta hapa lazima ukosolewe tu.

NB: KISIRANI NI DALILI YA MIMBA CHANGA.
HUNA AKILI NA HUNA MARINDA.
 
Nimesikia Kuna mashabiki wakitamba kuwa Al ahly atapigwa goli 3 bila wengine wanaropoka kuwa "mwarabu atapigwa sita maana kwamkapa hatoki mtu"

Kwa mtu timamu mwenye akili timamu na weledi wa football hawezi kuropoka maneno Kama hayo akiwa na kikosi Kama Simba sc mbele ya al ahly.

Kupitia jukwaaa hili pendwa na lenye wasomaji wengi sana NALIA NGWENA nauomba uongozi wa Simba sc uiitishe press conference kabla ya mchezo ili iwaandae kisaikolojia mashabiki watakao ingia na matokeo mfukoni ili lolote litakalo wakuta Simba sc liwe ni Jambo la kawaida tu.

Nawatahadharisha viongozi wa Simba sc wasipofanya hivyo basi tutawakosa ndugu zetu watakao ingia na matokeo mfukoni.

Tukutane kwa mkapa.
Hakika MACHOKO hamtaisha Nchi hii
 
"MASHABIKI WA YANGA NI MAMBWA HAKUNA LOLOTE WANALOJUA KUHUSU KANDANDA ILA MUDA WOTE WANAZOMEA TU UTADHANI MANYANI"

- DR LUC EYMAEL 2020
 
Back
Top Bottom