Uongozi wa Simba sc unapaswa kuitisha press conference kabla ya mchezo ili kuwaandaa mashabiki kisaikolojia

Uongozi wa Simba sc unapaswa kuitisha press conference kabla ya mchezo ili kuwaandaa mashabiki kisaikolojia

NALIA NGWENA akibwatuka
FB_IMG_1697705818872.jpg
 
Ha ha haaaa! Mechi ni ya Simba lakini presha wanayo Yanga. Kwani huyo mtu muhimu kwako atapotezwa na nini hadi aokolewe na press?

Ova
Pira la Ahly sio la Coastal Union jamani! Mi naogopa maana mtu mwenyewe kakaza shingo hataki hata kukiri mechi itakuwa ngumu!
 
Pira la Ahly sio la Coastal Union jamani! Mi naogopa maana mtu mwenyewe kakaza shingo hataki hata kukiri mechi itakuwa ngumu!
KUNA WENGINE WANADHANI WANAKWENDA KUCHEZA NA MTIBWA
 
"MASHABIKI WA YANGA NI MAMBWA HAKUNA LOLOTE WANALOJUA KUHUSU KANDANDA ILA MUDA WOTE WANAZOMEA TU UTADHANI MANYANI"

- DR LUC EYMAEL 2020
 
Nimesikia Kuna mashabiki wakitamba kuwa Al ahly atapigwa goli 3 bila wengine wanaropoka kuwa "mwarabu atapigwa sita maana kwamkapa hatoki mtu"

Kwa mtu timamu mwenye akili timamu na weledi wa football hawezi kuropoka maneno Kama hayo akiwa na kikosi Kama Simba sc mbele ya al ahly.

Kupitia jukwaaa hili pendwa na lenye wasomaji wengi sana NALIA NGWENA nauomba uongozi wa Simba sc uiitishe press conference kabla ya mchezo ili iwaandae kisaikolojia mashabiki watakao ingia na matokeo mfukoni ili lolote litakalo wakuta Simba sc liwe ni Jambo la kawaida tu.

Nawatahadharisha viongozi wa Simba sc wasipofanya hivyo basi tutawakosa ndugu zetu watakao ingia na matokeo mfukoni.

Tukutane kwa mkapa.

Simba kaiheshimisha Tanganyika mbele ya dunia: Wachambuzi uchwara karibuni mtoe nyongo zenu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na kibaya zaidi mechi inapigwa ijumaa, waarabu wakishaswali swala ya ijumaa wanajiandaa kwenda uwanjani, kwa muelewa atakuwa kanielewa ninachomaanisha, mwakarobo Awana bahati na ushirikina wao safari hii[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kipigo kipo palepale,wewe subiri masandawana wakukande biashara yako iwe imekwisha
 
Back
Top Bottom