SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
NALIA NGWENA akibwatuka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TUKUTANE KWA MKAPA.NALIA NGWENA akibwatukaView attachment 2786927
AKILI YAKO IMEJAA MATOPE
Pira la Ahly sio la Coastal Union jamani! Mi naogopa maana mtu mwenyewe kakaza shingo hataki hata kukiri mechi itakuwa ngumu!Ha ha haaaa! Mechi ni ya Simba lakini presha wanayo Yanga. Kwani huyo mtu muhimu kwako atapotezwa na nini hadi aokolewe na press?
Ova
We dada kila dakika unaandika upumbavu kuhus simbaAKILI YAKO IMEJAA MATOPE
Jaribu...naweza kuwa Bora zaidiWeeee huyo hana mbadala!
Sipo kwenye nafasi ya kujaribu tena, nimeshafikia kikomo na moyo nimempa yeye.Jaribu...naweza kuwa Bora zaidi
[emoji23] endelea kumuombea matokeo ya Makolo hayata muacha salamaSipo kwenye nafasi ya kujaribu tena, nimeshafikia kikomo na moyo nimempa yeye.
KUNA WENGINE WANADHANI WANAKWENDA KUCHEZA NA MTIBWAPira la Ahly sio la Coastal Union jamani! Mi naogopa maana mtu mwenyewe kakaza shingo hataki hata kukiri mechi itakuwa ngumu!
nalia ngwenaaaaaaTUKUTANE KWA MKAPA.
Hakika MACHOKO hamtaisha Nchi hiiKUNA WENGINE WANADHANI WANAKWENDA KUCHEZA NA MTIBWA
ENDELEA KUJIFARIJI
RAGE KATIKA UBORA WAKO."MASHABIKI WA YANGA NI MAMBWA HAKUNA LOLOTE WANALOJUA KUHUSU KANDANDA ILA MUDA WOTE WANAZOMEA TU UTADHANI MANYANI"
- DR LUC EYMAEL 2020
Nimesikia Kuna mashabiki wakitamba kuwa Al ahly atapigwa goli 3 bila wengine wanaropoka kuwa "mwarabu atapigwa sita maana kwamkapa hatoki mtu"
Kwa mtu timamu mwenye akili timamu na weledi wa football hawezi kuropoka maneno Kama hayo akiwa na kikosi Kama Simba sc mbele ya al ahly.
Kupitia jukwaaa hili pendwa na lenye wasomaji wengi sana NALIA NGWENA nauomba uongozi wa Simba sc uiitishe press conference kabla ya mchezo ili iwaandae kisaikolojia mashabiki watakao ingia na matokeo mfukoni ili lolote litakalo wakuta Simba sc liwe ni Jambo la kawaida tu.
Nawatahadharisha viongozi wa Simba sc wasipofanya hivyo basi tutawakosa ndugu zetu watakao ingia na matokeo mfukoni.
Tukutane kwa mkapa.
Kipigo kipo palepale,wewe subiri masandawana wakukande biashara yako iwe imekwishaNa kibaya zaidi mechi inapigwa ijumaa, waarabu wakishaswali swala ya ijumaa wanajiandaa kwenda uwanjani, kwa muelewa atakuwa kanielewa ninachomaanisha, mwakarobo Awana bahati na ushirikina wao safari hii[emoji1787][emoji1787][emoji1787]