Uongozi wa songea boys wafanya uonezi wa kupindukia kwa wanafunzi

Mi dogo kakutwa na ki bati cha lain
.
Kaingizwa mkengeni nae yaani duuuu
.
 
sasa mkuu huo uonevu mie sijauona hapa,kwani simcard,betri na charger zina matumizi tofauti zaidi ya kwenye simu?

.
Ungekuwa ni wewe kwa mfano?
.
 

mkuu kwa nyamvi ilikua mwaka gan maana enz zle tulitumia sana simu kucharge dh au pale hgl au unaenda ofis ya kiranja wa msos pale karbia na clas la egm!! mi nlikua azimio 4 getin kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…