DR. MWAKABANJE
JF-Expert Member
- Nov 7, 2012
- 1,976
- 3,130
Ndugu wanaJF habarini za weekend? Bila shaka mu wazma wa afya njema! Kuna jambo limetokea kwnye shule ya wavulana mbali na kwamba mdogo wangu naye na mhanga wa tatizo hilo pia naona ni kinyume kabsa na taratibu za malezi kw wanafunzi na pia ni uonezi wa hali ya juu! Ni hv kwa maelzo ya mdog wang jumanne iliyopta walmu waliwanya upekuz wa sim,laini, betr au kitu chocht kisichoruhsw na wapo walioptkn na sim, lain, betri, chaja nk na uongz wa shule umeamua kuwasmamsha masom kutkn na kuktw na vfaa hvyo sina tatzo na alyepatkn na sm lakn lain, betr, charger nk ni uonevu wa hali ya juu labd wahusk watusaidie kwn sheria zinasemaje na kabl hatujafk huko watuonyesh joing instrunctions zao! BIG RESULTS MPOOOOO!