tatanyengo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2011
- 1,133
- 280
Uongozi wa Chuo Kikuu cha Dodoma uliwatoza wahitimu wa chuo hicho kiasi cha Tsh. 40,000/=ikiwa ni ada ya kuchukua majoho kwa ajili ya mahafali. Uongozi uliahidi kurejesha Tsh. 20,000/= kama mhitimu angerejesha joho baada ya mahafali. Wahitimu (Undergraduate na wale wa Masters) wakafanya hivyo. Walipoomba fedha yao danadana ikaanza hadi leo.
Uongozi wa Udom hauoni kwamba kufanya hivyo ni kujidhalilisha mbele ya jamii inayoamini kwamba chuo kikuu ni taasisi ya kuigwa. Kutokana na hili jamii inajifunza na kuiga nini?
Uongozi wa Udom hauoni kwamba kufanya hivyo ni kujidhalilisha mbele ya jamii inayoamini kwamba chuo kikuu ni taasisi ya kuigwa. Kutokana na hili jamii inajifunza na kuiga nini?