Uongozi wa yanga mmetuchoka washabiki

Hazard CFC

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2015
Posts
16,627
Reaction score
38,689
Kivipi mtuaminishe kua kamusoko atakuwepo kikosi kinatoka hayupo hata bench? Nilikua nakuja uwanjani lakini siji tena,pato ngonyani mzito sana kama hawa jamaa wanakasi basi tunakufa...golini kabwili hahahaha hii sio vpl
 
Nahisi Lwandamina anatatizo na kamusoko & ngoma...sio wagonjwa kama tunavyoaminishwa
 
Kivipi mtuaminishe kua kamusoko atakuwepo kikosi kinatoka hayupo hata bench? Nilikua nakuja uwanjani lakini siji tena,pato ngonyani mzito sana kama hawa jamaa wanakasi basi tunakufa...golini kabwili hahahaha hii sio vpl
Hicho ndio kikosi bora cha Yanga kwa leo, hawana namna.

Vv
 
Kwahiyo Lwandamina ni dictator????kiasi kwamba washindwe kulalama mtandaoni kuwa wanabaniwa?
Hahahahaha labda waende usa wakalalamikie huko..wakiwa hapa hawawez mkuu
 
Mkwasa mwongo Jana Naongea na waandishi kwamba waliokuwa wauanaumwa wamepona nawatakuwa uwanjani hata kwenye akiba hawapo
 
Wanatuona sisi malofa sana,ole wao tufungwe au tudroo
 
Bila kuwahudumia mapro yanga isahau kuwatumia, haiwezekani mnawalipa kwa kupima vibaba na bado muwashikie bango. Wamekuja kutafuta pesa na football is money!
 
Uongozi haupangi kikosi hilo ni jukumu la benchi la ufundi

Mwalimu lwandamina anaanda match plan na type ya wachezaji kulingana na mechi

Tafadhali mambo ya uongozi kuingilia benchi la ufundi haitakiwi ,.kocha ndio msimamizi na mwenye maamuzi kwenye mambo ya kiufundi

Mlaumu coach na hujui mwl ana sababu gani kawaacha
.hawana match fitness na hii ni big game huwezi kumtumia mchezaji aliyetoka kwenye majeruhi hajacheza hata mchezo mmoja wa ligi kamari hio
 
Mchezaji kupona ni kitu kingine, na mchezaji kuwa FIT ni kitu kingine. Kocha ndio mwenye kuona utimamu wa mwili wa mchezaji. Daktari amesha maliza kazi, ila Kocha kwa mtizamowake mchezaji hayupo vizuri kwa mechi.
 
Kivipi mtuaminishe kua kamusoko atakuwepo kikosi kinatoka hayupo hata bench? Nilikua nakuja uwanjani lakini siji tena,pato ngonyani mzito sana kama hawa jamaa wanakasi basi tunakufa...golini kabwili hahahaha hii sio vpl

mtu ana miezi karibu mitano hajacheza hta mechi moja halaf unatka aanze ktk mechi serious km hii khs kabwili mbona ni kipa mzuri tu alishapewa nafasi na akaonyesha uwezo
 
Pro ni pro tu...hawa wavulana alioweka usishangae tukala 3
 
Kuna kale kajamaa kwenye sports bar jana kanaongea hadi unajua kanakudanganya ni kama Manara kabisa ila kuwatumia hao wachezaji nadhani inahitaji muda angalau waanze na ligi huku kwetu ambapo hakuna shida sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…