Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
Kivipi mtuaminishe kua kamusoko atakuwepo kikosi kinatoka hayupo hata bench? Nilikua nakuja uwanjani lakini siji tena,pato ngonyani mzito sana kama hawa jamaa wanakasi basi tunakufa...golini kabwili hahahaha hii sio vpl