Uongozi wa Yanga uhusike na kulipa gharama zote za kuharibu mechi ya Derby iliyotakiwa kufanyika hivi leo. Uhuni kwenye soka haukubaliki

Kwa mujibu wa kanuni ya mpira
1. Timu ngeni inatakiwa kufanya mazoezi ya mwisho katika uwanja siku moja muda ule ule ambao mechi itachezwa;
Kuzuiwa kutoshiriki mazoezi ni sawa na kuufuta mchezo usiwepo
Hiyo mistari miwili ya mwisho umeitoa wapi??
 
Halafu, binafsi nina hili la kanuni ya 22(1) inayosema;



Swali, je! 51mba walipeleka malalamika kwa bodi ya ligi juu ya kuzuiwa kufanya mazoezi? Kama hawakupeleka, kwangu mimi, kikao kilichoghairisha mchezo ni batili. Hivyo, mechi ilitakiwa ichezwe. Ambaye hakuja uwanjani, kanuni ziseme naye..!!
 
Kwa mujibu wa kanuni ya mpira
1. Timu ngeni inatakiwa kufanya mazoezi ya mwisho katika uwanja siku moja muda ule ule ambao mechi itachezwa;
Kuzuiwa kutoshiriki mazoezi ni sawa na kuufuta mchezo usiwepo
Hapo kwenye bold, WEWE NI MUONGO KULIKO SHETANI. Kanuni ipi inasema hivyo?
 
Uko na akili timamu kweli? Yanga wana kosa Gani hapo.? Timu imeenda bila taarifa. Meneja hakufungua milango. Polisi walikuwepo. Je walinzi wa yanga walikuwa na ubavu kuliko polisi waliokuwepo pale? Polisi pia walishiriki kuwazuia Simba. Yanga wanakosa Gani? Usiwe mjinga kwa maslahi ya mpira wa Tanzania.
 
Na ni haki yao kuamua kutumia uwanja wa mwenyeji au uwanja mwingine wanaoona unaofaa. Na hapa ndio mawasiliano yanatakiwa kwa mwenyeji wa uwanja kuhakikisha kila kitu kipo sawa. Anayetakiwa kuwasiliana na meneja wa uwanja wa Mkapa ni timu mwenyeji ili wanapompokea mwenyeji mambo yote yawe sawa.

Simba hawakutaka kuwajulisha Yanga muda wa kwenda kufanya mazoezi kwa hofu ya ushirikina. Walitaka mambo yawe ya kushtukiza. Kwa tukio baya hawamkutaarifu hata meneja wa uwanja kuwa wanaenda eneo lile.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…