Thabit Madai
Member
- Oct 8, 2024
- 54
- 140
Aliyekuwa Mchezaji wa Yanga Hafiz Konkoni ameshinda kesi yake ya madai dhidi ya Klabu hiyo (Yanga) akidai fidia yake baada ya kuvunjiwa mkataba, Yanga wamepokea barua ya maamuzi ya kesi hiyo kutoka FIFA Jana Oktoba 17, 2024.
Hii inakuja siku chache baada ya Mchezaji mwingine Augustine Okrah kushinda kesi kama hiyo dhidi ya Yanga.
Hii inakuja siku chache baada ya Mchezaji mwingine Augustine Okrah kushinda kesi kama hiyo dhidi ya Yanga.