Uongozi wa Yanga ujitafakari

Uongozi wa Yanga ujitafakari

Thabit Madai

Member
Joined
Oct 8, 2024
Posts
54
Reaction score
140
Aliyekuwa Mchezaji wa Yanga Hafiz Konkoni ameshinda kesi yake ya madai dhidi ya Klabu hiyo (Yanga) akidai fidia yake baada ya kuvunjiwa mkataba, Yanga wamepokea barua ya maamuzi ya kesi hiyo kutoka FIFA Jana Oktoba 17, 2024.

Hii inakuja siku chache baada ya Mchezaji mwingine Augustine Okrah kushinda kesi kama hiyo dhidi ya Yanga.
 
Aliyekuwa Mchezaji wa Yanga Hafiz Konkoni ameshinda kesi yake ya madai dhidi ya Klabu hiyo (Yanga) akidai fidia yake baada ya kuvunjiwa mkataba, Yanga wamepokea barua ya maamuzi ya kesi hiyo kutoka FIFA Jana Oktoba 17, 2024.

Hii inakuja siku chache baada ya Mchezaji mwingine Augustine Okrah kushinda kesi kama hiyo dhidi ya Yanga.
Watalipa tu kunafaida gani kuwa na mchezaji ambaye hana matokeo chanya
 
Ukweli usemwe, yanga hamna mwanasheria tafuteni mwanasheria mzuri huyu patrick simon atawafelisha chukua hii huyu jamaa alishaitisha press akiwa na shoga yake ashura mayutiai(ally kamwe) wakadai kagoma ni mchezaji halali wa yanga na kagoma anatwanga simba kama jana kama leo.
 
Aliyekuwa Mchezaji wa Yanga Hafiz Konkoni ameshinda kesi yake ya madai dhidi ya Klabu hiyo (Yanga) akidai fidia yake baada ya kuvunjiwa mkataba, Yanga wamepokea barua ya maamuzi ya kesi hiyo kutoka FIFA Jana Oktoba 17, 2024.

Hii inakuja siku chache baada ya Mchezaji mwingine Augustine Okrah kushinda kesi kama hiyo dhidi ya Yanga.
Ukitaka kitu kizuri lazima uingie gharama, fikiria kama leo timu ingekua na strier Konkoni ingefika wapi?
 
Ukweli usemwe, yanga hamna mwanasheria tafuteni mwanasheria mzuri huyu patrick simon atawafelisha chukua hii huyu jamaa alishaitisha press akiwa na shoga yake ashura mayutiai(ally kamwe) wakadai kagoma ni mchezaji halali wa yanga na kagoma anatwanga simba kama jana kama leo.
Mbumbumbu kwenye one and two
 
Back
Top Bottom