Pia tatizo la Yanga wanashindana na Simba kitu ambacho ni kigumu,Simba wagenkuwa wanafanya mambo kwa presha ya ubora wa Yanga wakati ule wa kina msuva leo isingefika hapa ,Yanga watulie wasiwe na presha kutoka kwa wapinzani watulie kama hawasikiiUmemsahau Deejay Luc Emely aliitengeneza timu kiasi chake sema akawaita jina lile wakamtimua. Ndio mwanzo huo wanaanza kuvurugana. Tatizo kinacho wapa pressure ni ubora wa simba wasijue simba imesukwa kwa muda na inanunua wachezaji kweli sio wakuokota na mambo ya propaganda
Manara muongo muongo Sana, kawaponza wenzie[emoji3525]
Anajiongeza kwa uwezo upi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Waache pia ujanja ujanja wa kutaka kuongea au kuchochea ya upande wa 2 wakati ya kwao wanayashindwaPia tatizo la Yanga wanashindana na Simba kitu ambacho ni kigumu,Simba wagenkuwa wanafanya mambo kwa presha ya ubora wa Yanga wakati ule wa kina msuva leo isingefika hapa ,Yanga watulie wasiwe na presha kutoka kwa wapinzani watulie kama hawasikii
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Yanga hawakufikisha siku 23 kwenye pre season. Bora hata wangekuwa na hizo siku 23Kama ni kweli basi timu yangu ya yanga IMEKOSA WELEDI KABISA
kosa lake n lipi huyo kocha unamlete a lundo la wachezaji na pre season ya siku 23
Kulikuwa na haja gan ya kwenda Morocco na kukaa siku 5
# AKUFUKUZAYE AKWAMBII TOKA
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Huyo Kocha wangemuacha tu. Manara ndio angepewa sharti la hizo mechi mbili!Kwa mujibu wa gazeti la Mwanaspoti ni kwamba uongozi wa Klabu ya Yanga umempa mechi mbili (2) kocha mkuu wa kikosi hicho Nasreddine Nabi , Mechi hizo mbili ambazo amepewa kocha Nabi ni ile ya marudiano ya Klabu Bingwa Afrika dhidi ya Rivers United ya Nigeria na mchezo dhidi ya watani wao jadi Simba utakaochezwa September 25 kwenye dimba Benjamin Mkapa, Dar.
Nini maoni yako?
Wamkabidhi Timu Manara maana ni anasema yeye aliifikisha simba robo fainali club bingwa..Kwa mujibu wa gazeti la Mwanaspoti ni kwamba uongozi wa Klabu ya Yanga umempa mechi mbili (2) kocha mkuu wa kikosi hicho Nasreddine Nabi , Mechi hizo mbili ambazo amepewa kocha Nabi ni ile ya marudiano ya Klabu Bingwa Afrika dhidi ya Rivers United ya Nigeria na mchezo dhidi ya watani wao jadi Simba utakaochezwa September 25 kwenye dimba Benjamin Mkapa, Dar.
Nini maoni yako?
Yanga watajua kama awajui watakapomtoa kafara kocha.Nabi ataondoka lakini moto utawaka.Hapa kocha anaonewa tu km ni kweli hayo
Aise kwa kweli. Itakua ajabu saanaHakuna Official statement kutoka uongozi wa yanga juu ya jambo hili!
Itakuwa jambo la ajab sana kama ni kweli! Naungana na Mr Mbaga333
Tuwe serious nchimbi hawezi kuongea hivi
Kama kweli uongozi wa Yanga umefikia maamuzi hayo, basi wajue hilo ndilo KABURI lao la mwaka huu wa Ligi ya TFF yaani Ligi Kuu ya 2021/2022 waisahau hata hiyo nafasi ya pili waliyo ambulia in the last TFF League season!Kwa mujibu wa gazeti la Mwanaspoti ni kwamba uongozi wa Klabu ya Yanga umempa mechi mbili (2) kocha mkuu wa kikosi hicho Nasreddine Nabi , Mechi hizo mbili ambazo amepewa kocha Nabi ni ile ya marudiano ya Klabu Bingwa Afrika dhidi ya Rivers United ya Nigeria na mchezo dhidi ya watani wao jadi Simba utakaochezwa September 25 kwenye dimba Benjamin Mkapa, Dar.
Nini maoni yako?