Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,420
- 18,298
- Thread starter
- #21
Pia tatizo la Yanga wanashindana na Simba kitu ambacho ni kigumu,Simba wagenkuwa wanafanya mambo kwa presha ya ubora wa Yanga wakati ule wa kina msuva leo isingefika hapa ,Yanga watulie wasiwe na presha kutoka kwa wapinzani watulie kama hawasikiiUmemsahau Deejay Luc Emely aliitengeneza timu kiasi chake sema akawaita jina lile wakamtimua. Ndio mwanzo huo wanaanza kuvurugana. Tatizo kinacho wapa pressure ni ubora wa simba wasijue simba imesukwa kwa muda na inanunua wachezaji kweli sio wakuokota na mambo ya propaganda