Uongozi wa Yanga wampa Kocha mechi mbili

Uongozi wa Yanga wampa Kocha mechi mbili

Kwa mujibu wa gazeti la Mwanaspoti ni kwamba uongozi wa Klabu ya Yanga umempa mechi mbili (2) kocha mkuu wa kikosi hicho Nasreddine Nabi , Mechi hizo mbili ambazo amepewa kocha Nabi ni ile ya marudiano ya Klabu Bingwa Afrika dhidi ya Rivers United ya Nigeria na mchezo dhidi ya watani wao jadi Simba utakaochezwa September 25 kwenye dimba Benjamin Mkapa, Dar.

Nini maoni yako?
Mechi ya Nigeria ndio tia maji, hii nyingine hata kushinda 3 kwa sifuri inawezekana vizuri tu.
 
Simba hii hii ya sakho?
simba hii hii ya kanoute na bwalya?
Simba hii hii ya mugalu?
Bora wangemuachisha tu kazi bila kumpa masharti, huo mlima ni mrefu sana kupandwa!
Hii ni Simba butu haikuwahi kutokea, mechi zikianza mtaikataa. Uzuri kocha kashasema Simba hii haina ubora wa msimu uliopita.
 
Simba hii hii ya sakho?
simba hii hii ya kanoute na bwalya?
Simba hii hii ya mugalu?
Bora wangemuachisha tu kazi bila kumpa masharti, huo mlima ni mrefu sana kupandwa!
Kuna mtoto mdogo pale Simba anaitwa Peter Banda,mtoto nuksi sana huyu.
serikali ya mama Samia isipoingilia kati wale wazee wa Yanga watashughulishwa sana na huyu bwamdogo uwanjani.
 
Kwa mujibu wa gazeti la Mwanaspoti ni kwamba uongozi wa Klabu ya Yanga umempa mechi mbili (2) kocha mkuu wa kikosi hicho Nasreddine Nabi , Mechi hizo mbili ambazo amepewa kocha Nabi ni ile ya marudiano ya Klabu Bingwa Afrika dhidi ya Rivers United ya Nigeria na mchezo dhidi ya watani wao jadi Simba utakaochezwa September 25 kwenye dimba Benjamin Mkapa, Dar.

Nini maoni yako?
Wamemmaliza
 
Kwa mujibu wa gazeti la Mwanaspoti ni kwamba uongozi wa Klabu ya Yanga umempa mechi mbili (2) kocha mkuu wa kikosi hicho Nasreddine Nabi , Mechi hizo mbili ambazo amepewa kocha Nabi ni ile ya marudiano ya Klabu Bingwa Afrika dhidi ya Rivers United ya Nigeria na mchezo dhidi ya watani wao jadi Simba utakaochezwa September 25 kwenye dimba Benjamin Mkapa, Dar.

Nini maoni yako?
Akufukuzaye hakuambii ondoka!! Utasoma tu katikati ya mistari!! Hata ukimleta Sir Furgarson hawezi kushinda hizo mechi mbili!!
 
Wanamuonea tu kocha,aliyeleta gundu ni hii takataka ya Ghalib
FB_IMG_1631632220607.jpg
 
Kocha wa watu anakosa gani hapo. Maandalizi hafifu, usanii mwingi inshu ya baadhibya wachezaji kukosa vibali vya kazi kocha anahusikaje..? Aisee mambo mengine yana leta hasira
Kabisa Mkuu gsm wajanja sana makosa yao wanataka kumwangushia kocha
 
Back
Top Bottom