Uozo, blabla na upendeleo wa wazi wazidi kuishushia hadhi Ballon d’Or

Uozo, blabla na upendeleo wa wazi wazidi kuishushia hadhi Ballon d’Or

Kwahiyo hata Lewa hastaili au hata Ronaldo na Messi tuzo walizo shinda nyuma zote hawastahili.

Haya TUFANYE mimi sijui, nitajie ww vigezo vyako vya mchezaji bora.
Mchezaji Bora ni mvhezaji Alie fanya Vizuri Kwenye Msimu husika.regardsless of assist and big missing chance statistics.
 
Mchezaji Bora ni mvhezaji Alie fanya Vizuri Kwenye Msimu husika.regardsless of assist and big missing chance statistics.
Hiyo "VIZURI" inapimwa na vitu gani , be specific, umesema mimi sijui, ila mpaka sasa hujawa specific au na WEWE HUJUI bali uliamua kubisha tu?
 
Vigezo na masharti kubadilika, Hizi stats za kijinga Copa del Rey nalo la kuchaguwa mchezaji bora? sio kama carabao cup. tuseme ni kweli hizo number basi angeshinda kwa points 200 hivi iweje ashinde kwa point 30 tu? Yeye mwenyewe kakiri kuwa Copa America ndio ime mbeba sasa yale mashindano kweli ya kusema fulani bora? wachezaji bora wote duniani lazima awepo CL ndio mafundi wako. Eti Copa del rey ujingaaaa
 
Vigezo na masharti kubadilika, Hizi stats za kijinga Copa del Rey nalo la kuchaguwa mchezaji bora? sio kama carabao cup. tuseme ni kweli hizo number basi angeshinda kwa points 200 hivi iweje ashinde kwa point 30 tu? Yeye mwenyewe kakiri kuwa Copa America ndio ime mbeba sasa yale mashindano kweli ya kusema fulani bora? wachezaji bora wote duniani lazima awepo CL ndio mafundi wako. Eti Copa del rey ujingaaaa
Mchezaji gani ambaye kwa timu mbovu ya Barca angeweza kufikia takwimu za Messi? Tuzo inazungumzia mchezaji binafsi sio timu ukilate habari za timu utafeli sana
 
Mchezaji gani ambaye kwa timu mbovu ya Barca angeweza kufikia takwimu za Messi? Tuzo inazungumzia mchezaji binafsi sio timu ukilate habari za timu utafeli sana
Ndg kama unajua mpira basi haujautilia maanani vizuri

Balloon D'or ipo ktk controversial kubwa tangu 2010, Mwaka ambao Messi akichukua tuzo kwa jitihada binafsi ila kuna mchezaji kaisaidia timu yake kuchukua big trophies, ila anapewa Messi.

Ila mwaka unaofuata anatokea mchezaji mwingine anakuwa ni mwenye jitihada na takwimu nzuri kwa binafsi yake ila Messi anaisaidia timu yake kuwin big trophies, ila anapewa Messi hiyo tuzo

So, Issue iliyopo ni vigezo gani strong huamua huyu kuwa ni mchezaji bora na hii ni kutokana na kila mwaka vigezo vimekuwa vikibadilika hasa vinavyo favor upande wa Messi
 
Mchezaji gani ambaye kwa timu mbovu ya Barca angeweza kufikia takwimu za Messi? Tuzo inazungumzia mchezaji binafsi sio timu ukilate habari za timu utafeli sana
Kufunga dhidi ya Vallavolid alivyocheza CL alifanya nini. Nadhani wewe ndio hujui kimeongelewa nini. yeye mweneyewe katamka copa america ndio ime mbeba sasa unaleta kucheza team mbovu kama Barca, kwa hiyo wanaochezea team nzuri sio wachezaji? mbona yeye alishinda mara 6 wakati Barca ni Barca kweli leo unaleta vigezo vya team mbovu? acha ushabiki basi angepewa mfungaji bora sio mchezaji bora.
 
2010 - wesley sneijder
2012 - Iniesta
2013 - Ribery
2014 - Neuer
2019- Van Dijk
2020 - Lew
2021 - lew / Jorginho

mbali na hivo hata hizo nafasi za pili na tatu walizopata messi na ronaldo na ndugu yao neymar katika baadhii ya miaka pia hawakustahiki.
2010 - sneijder, Iniesta, Milito - Messi hakustahiki hata kuwemo top 3
2011 - Messi, Xavi, Iniesta - ronaldo hakustahiki kuwemo top 3
2012 - Iniesta, pirlo, Cech / Xavi - Mesi na Ronaldo hawakustahiki kuwemo top 3
2013 - Ribery, robben, lew - Messi na ronaldo hawakustahiki kuwemo top 3
2014 - neuer, robben, ronaldo - messi hakustahiki kuwemo top 3
2015 - messi, iniesta, suarez- ronaldo na neymar hawakustahiki kuwemo top 3
2016 - ronaldo, grezman, suarez- messi hakustahiki kuwemo top 3
2017 - ronaldo, buffon, modirc - messi na neymar hawakustahiki kuwemo top 3
2019 - van dijk, Bernado Silva, messi - ronaldo hakustahiki kuwemo top 3
2021 - Jorginho, lew, benzema - messi hakustahiki kuwemo top 3
Mbuzi nyingine ya kuchinja sikukuu hii hapa
 
Ronaldo alipewa Ballorn dor 2016 kwa sababu alichukua EURO! Kimagoli alimzidi nini SUAREZ??

pendelea kunywa chai asubuhi mapema ili uwe nakumbukumbu.

2016 ronaldo alichukua euro, na pia alichukua champion league, na pia alikua mfungaji bora wa champion league.
 
Mkuu una akili sawa sawa ? Takwimu za messi 2018- 2019 ,2020 - 2021 unazijua??
How come benardo silva over messi ?? Bezema over messi?? Watu kam Nyie mnapaswa kushabikia mziki wa kina Diamond na Harmonize mpira sio Size yenu!!

unaanzaje kulinganisha performance na consistence ya Benzema na Messi kwa mwaka huu? unafahamu kuwa Messi amefunga 1 league goal ndani ya miezi minne iliopita?
 
Ushindani wa Nike na Adidas umeharibu hizi tuzo.
Binafsi 2010 ulifanyika uhuni mkubwa, Milito hata top 3 hakuingia. Ile tuzo ilikuwa ya Sneidjer.
 
Hiyo "VIZURI" inapimwa na vitu gani , be specific, umesema mimi sijui, ila mpaka sasa hujawa specific au na WEWE HUJUI bali uliamua kubisha tu?
Kura za Waandishi na wachambuzi wa Michezo.
 
Kwa hiyo hiko ndicho kigezo waandishi na wachambuzi.........?

Kwani Ballon d'or kura wanapiga akina nani?

Kwa hiyo hiko ndicho kigezo waandishi na wachambuzi.........?

Kwani Ballon d'or kura wanapiga akina nani?
Badala ya Waandishi na wachambuzi kur zingekuwa zinapigwa na macapteni na makocha maana hao kwa hakika ndo wanaujua mpira na uhalisia wake. Wachambuzi Sio waaminifu na Wana base Kwenye maslahi wao binafsi na mahaba kwa wachezaji kwenye upigaji wa kura na ndo maana licha ya mavigezo yooooote hayo Messi alio mshinda Lewy bado lewy ameshindwa point Chache tu na Messi . Angalia vizuri. Chukulia mfano tu kwa Wachambuzi wetu wa Tanzania wanavyo chambua Hovyo Hovyo na kubase Kwenye Mapenzi yao binafsi utanielewa vizuri. Angalia Ribery alivyo kosa 2013, angalia S
Kwa hiyo hiko ndicho kigezo waandishi na wachambuzi.........?

Kwani Ballon d'or kura wanapiga akina nani?
Naamanisha Vote zingekuwa zinapigwa na macapteni na makocha maana hao ndio wanaojua mpira na uhalisia wake badala ya hao wachambuzi na Waandishi. Angalia kwa mfano tu hapa Tanzania jinsi Waandishi wetu na wachambuzi wanavyo chambua kwa mahaba na Mapenzi yao. Mfano mzuri tu ni ujio wa kocha mpya wa Simba(Huyu aliepo Sasa) wachambuzi wengi na vyombo vya habari vilimpamba kuwa alikuwa kocha msaidizi wa Club ya Reak Madrid Ya hispania. Lakini kiuhalisia hakuna kitu Kama hichi in and out. Hiyoo Ndugu(kocha wa Simba) hajawahi kuwa kocha mkuu au hata msaidizi wa team yoyote ya Madrid sio Wakubwa ,wadogo Wala Vijana. Kuna mifano michache tu ya jinsi Hao Wapiga kura(wachambuzi na Waandishi wa Michezo) walivyo wadhurumu watu stahiki zao kwa kutumia kura zao.
Mwaka 2003 thiery Henry akiwa Kwenye Form kabisa lakini akajimwa tuzo yake na akapewa Pavel nedved wa Juventus.
Mwaka 2010 Wesley sneijder akiwa Kwenye Form kabisa aki isaidia club yake na National team na akanyimwa Tena stahiki take na akapewa bwana leo.
Mwaka 2020 Robert Lewadoski akiwa Kwenye Form vibaya mno na Messi na Ronaldo wakiwa wamefloop kabisa Lewy akanyimwa stahiki take kwa kumsingizia Korona. Unaletaje hoja ya Korona na kutaka iwe na mashiko wakati ligi zote ziliendelea Kama kawaida na washindi wakapatikana..??
Leo 2021 Na hayo yalio tokea bado unataka tuendelee kusema kwamba Tuzo zimetolewa kwa Haki ??
Bado unataka tuwe na Imani na Hao wafaransa wanao toa Tuzo za hovyo licha ya Mifano you ya wazi kabisaa Mkuu..??
Kwa hiyo hiko ndicho kigezo waandishi na wachambuzi.........?

Kwani Ballon d'or kura wanapiga akina nani?
 
Kufunga dhidi ya Vallavolid alivyocheza CL alifanya nini. Nadhani wewe ndio hujui kimeongelewa nini. yeye mweneyewe katamka copa america ndio ime mbeba sasa unaleta kucheza team mbovu kama Barca, kwa hiyo wanaochezea team nzuri sio wachezaji? mbona yeye alishinda mara 6 wakati Barca ni Barca kweli leo unaleta vigezo vya team mbovu? acha ushabiki basi angepewa mfungaji bora sio mchezaji bora.
Onesha takwimu za unayedhani alipaswa kushinda kisha weka za Messi tuone nani mshindi
 
Ndg kama unajua mpira basi haujautilia maanani vizuri

Balloon D'or ipo ktk controversial kubwa tangu 2010, Mwaka ambao Messi akichukua tuzo kwa jitihada binafsi ila kuna mchezaji kaisaidia timu yake kuchukua big trophies, ila anapewa Messi.

Ila mwaka unaofuata anatokea mchezaji mwingine anakuwa ni mwenye jitihada na takwimu nzuri kwa binafsi yake ila Messi anaisaidia timu yake kuwin big trophies, ila anapewa Messi hiyo tuzo

So, Issue iliyopo ni vigezo gani strong huamua huyu kuwa ni mchezaji bora na hii ni kutokana na kila mwaka vigezo vimekuwa vikibadilika hasa vinavyo favor upande wa Messi
Aside from trophies kama timu individual statistics zilikuwaje kwa mwaka huo huo ambao mnaamini tuzo zilikwenda kwa Messi kwa kumbeba?
Eg nikitazama hata man of the matches tu zinaleta ushahidi wa kwa nini mara nyingi tuzo inakwenda kwa Messi maana anadhihirisha ubora kitakwimu kuliko wenzake.Kwa mfano hakuna mtu hapa ambaye kwa takwimu atathibitisha Messi amebebwa kama yupo ajitokeze
 
Back
Top Bottom