Mpunumpunyenye
Senior Member
- Dec 7, 2011
- 114
- 50
Uingizwaji wa wanafunzi wasio na sifa kusoma, katika hili chuo hiki kimekuwa kikichukua wanafunzi wasio na sifa za kujiunga kimasomo totauti na taratibu za wizara, kwa mfano wanafunzi wanaoingia kusoma certificate wengine hata elimu ya secondary hawajasoma
Diploma ndio balaa kuna ambao wanaingia wakiwa na D 3 tu za form 4 bila ya kuwa na cheti kingine chochote
UCHAKACHUAJI WA MATOKEO
Kumekuwa na tabia wa wafanyakazi na walimu kupewa rushwa za pesa na ngono ili kuwapa marks wanafunzi wanaofeli kwa mfano kuna mwalimu anaitwa imma wa masomo ya IT huyu amekuw kinara wa kuchakachua matokeo kuna wanafunzi hasa wa diploma tangu wanaanza chuo wamefeli masomo yote kila semester lakini wamemaliza wakiwa na vyeti.
MWISHO
Ninaomba serikali kupitia wizara na idara husika kufanya uchunguzi hata kidogo ili kuepusha janga hili linaloletwa na chuo hiki.
Diploma ndio balaa kuna ambao wanaingia wakiwa na D 3 tu za form 4 bila ya kuwa na cheti kingine chochote
UCHAKACHUAJI WA MATOKEO
Kumekuwa na tabia wa wafanyakazi na walimu kupewa rushwa za pesa na ngono ili kuwapa marks wanafunzi wanaofeli kwa mfano kuna mwalimu anaitwa imma wa masomo ya IT huyu amekuw kinara wa kuchakachua matokeo kuna wanafunzi hasa wa diploma tangu wanaanza chuo wamefeli masomo yote kila semester lakini wamemaliza wakiwa na vyeti.
MWISHO
Ninaomba serikali kupitia wizara na idara husika kufanya uchunguzi hata kidogo ili kuepusha janga hili linaloletwa na chuo hiki.