Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
WadsWanawake Mungu anawaona unakuta kadada kana sura na muonekano wa kilokole, thubutu !!! Kachatishe Whatsapp au normal text ndio utajua wanawake ni mashetani yaliojificha kwenye miili ya watu.
Sasa msitulaumu tukiwanyanndua na kusepa nina hasira kuna pisi nilikuwa na mpango wa kukaa yenyewe inanifanya kama danga
Kila mtu ashinde mpango kazi wake maisha ndio haya.
Wadiz
Wanawake Mungu anawaona unakuta kadada kana sura na muonekano wa kilokole, thubutu !!! Kachatishe Whatsapp au normal text ndio utajua wanawake ni mashetani yaliojificha kwenye miili ya watu.
Sasa msitulaumu tukiwanyanndua na kusepa nina hasira kuna pisi nilikuwa na mpango wa kukaa yenyewe inanifanya kama danga
Kila mtu ashinde mpango kazi wake maisha ndio haya.
Wadiz
Tunapigwa za uso huku tukiwa macho makavuKwa sasa njaa ni kali sana mjini
Kidemu kinaanza kukuomba mara simu, mara pesa wakati huo hamna hata siku mbili tangu mpeane namba[emoji3][emoji3]
sasa hivi jambo muhimu ni kusikilizia shoo kama vile hutapewa tena liwalo na liweHizo pisi za mjini kukaa nazo sio rahisi mkuu, wakukaa nao wapo huko kijijini tandahimba wanagaragazana vichakani mkuu.
πππsasa hivi jambo muhimu ni kusikilizia shoo kama vile hutapewa tena liwalo na liwe
Hunters never change once born a hunter and a jungler always a hunterKama huna pesa acha umalaya, vijana mnatamani kila mwanamke anayekatiza mbele yako na ndicho chanzo Cha malalamiko.
Hata Kama we ni Simba si kila swala anayekatiza unakula.
Tatizo ni tamaa, ishi na mwanamke wako mmoja kama uchumi ni tete, umalaya ni gharama, utajikuta hufanyi maendeleo yoyote kisa kuendekeza wanawake.
Kuna watu wanahonga range mbili, we kuombwa simu tu kelele.