Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hakika hili swala ni kweli kabisaa mkuu maan nimepunwa kitu kam 15k ndani ya muda mfupi ila baadae nikala kam 10k then kichwa kilikataa kutoa ile pesa baada ya hapo ni stress tu ni bora kusubiri dakika 90Safi sana, Maelezo murua na yenye hoja za msingi.
Kama zinatua kwa pamoja basi hakuna utapeli ila ni Algorithm za kijambazi..Kila account is treated individual. Hapana.
Chukua simu 10 fungua account angalia. Zinaruka kwa pamoja na kutua pamoja zote
Kubwa sanaKama zinatua kwa pamoja basi hakuna utapeli ila ni Algorithm za kijambazi..