Upande wa Giza: Kila binadamu ana siri zake za kuficha

Upande wa Giza: Kila binadamu ana siri zake za kuficha

Binadamu wengi hawana Dark Side bali wana Secret Side....

Dark Side ina maana hayo mambo ni forbiden..

Secret side ina maana hutaki mambo yako baadhi yajulikane, ila hata siku yakijulikana siyo issue mbele ya jamii...
Wewe sasa ndio umesema sahihi.
Dark is Not Secrete.
Binafsi for 100%, i dont have a dark side.
But i have my secrete world. And that is surely acceptable cz people differ amd everyone needs privacy
 
Ni sahihi. Hata kutumia fake ID ni upande wetu wa giza. Siku wakikujua kama wewe ndio fulani unatumia fake ID nchi itatikisika.
Para paap!!!!

Kiranga ndio Mwakasege.

rikiboy ndiye Moses Mnauye

cocastic ndiye Ummy Mwalimu

mzabzab ndiye Goodluck Gosbert

Kalpana ndiye Martha Mwaipaja.


okwi Boban Sunzu ndiye Hamisi Kigwangala.


Yaani hizi Fame IDs zimeficha mengi.
 
Para paso!!!

Kiranga ndio Mwakasege.

rikiboy ndiye Moses Mnauye

cocastic ndiye Ummy Mwalimu

mzabzab ndiye Goodluck Gosbert

Kalpana ndiye Martha Mwaipaja.

okwi SUNZU BOBAN ndiye Hamaisi Kigwangala.


Yaani hizi Fame IDs zimeficha mengi.
Mkuu,

JF ina kanuni za kutotajana majina halisi bila idhini.

Usinitaje jina langu halisi hapa.
 
Inawezekana aje? Yan niwe na kitu nakijua me mwenyewe? Mbona kama sina? Au nina mdomo sana wa kuropoka 🤣🤣

Cc Lenie
Kwa maana hiyo maisha yako utabaki kuamuliwa na watu. Hakuna sehemu utasimama wewe kama wewe....
 
Kwa sbb sina siri? Hahaaa
Hivi kuna siri njema?
Katika kitu cha thamani kubwa mbele ya maadui zako ni zile siri zako.

Wakristo wameambiwa kwenye kitabu chao wasiwe wanahadithia hata ndoto wanazoota unajua ni kwa nini?
Watu wenye nguvu na wanaofurahia maisha ni watu wenye kutunza siri zao huku wakiwa wapo tayari kupeleleza siri za wengine.
Hata katika nchi, yale mataifa yanayotunza siri zao huku yakipeleleza siri za mataifa mengine ndio mataifa yenye kuweza kupanga hatma yao na ikapangika.

Unaweza kuwa na akili nyingi huku ukiwa ni mtu mwenye bahati lakini utaishia kuwa fukara kwa kosa moja tu la kutokujua kutunza siri.

Sehemu yoyote yenye furaha ujue kuna siri... Siri zako ndio utu wako
 
Katika kitu cha thamani kubwa mbele ya maadui zako ni zile siri zako.

Wakristo wameambiwa kwenye kitabu chao wasiwe wanahadithia hata ndoto wanazoota unajua ni kwa nini?
Watu wenye nguvu na wanaofurahia maisha ni watu wenye kutunza siri zao huku wakiwa wapo tayari kupeleleza siri za wengine.
Hata katika nchi, yale mataifa yanayotunza siri zao huku yakipeleleza siri za mataifa mengine ndio mataifa yenye kuweza kupanga hatma yao na ikapangika.

Unaweza kuwa na akili nyingi huku ukiwa ni mtu mwenye bahati lakini utaishia kuwa fukara kwa kosa moja tu la kutokujua kutunza siri.

Sehemu yoyote yenye furaha ujue kuna siri... Siri zako ndio utu wako
Pengine nina definition tofauti ya siri. Siri mimi naona ni ile kitu naijua mwenyewe. Only me. Sasa hapo mkuu ni ngumu… sjui unailewa point yangu?

Logic yako naielewa,, kitu ukikisema sema kabla hujakifanya kuna mawili, hutokifanya kabisa, au utachelewa sana kukifanya.

Naomba definition yako ya siri na mf wa siri hiyo. Isije kuwa sijauelewa uzi unataka nn.
 
Back
Top Bottom