WAKUNJOMBE
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 615
- 624
Nikweli unacho sema ila tuwape muda kidogo.Ndugu zangu ukweli usemwe huyu Ouatarra mzito na hana speed bora babu Onyango..
Mohamed Hussein ana makosa mengi sana na huwa anachelewa kurudi tunaposhambuliwa..
Sasa yule wa kurekebisha makosa ndio mzito, mzembe na hana speed
Hata utopolo walitufunga tokana na hawa viazi wawili
Hata Mzungu na Victor.. tuwape muda