Upande wa moyo unauma chin ya ziwa

Mwenye kujua hili napata maumivu kama ya kidonda chini ya ziwa lakini nikijaribu kutafuta maumivu nayapata kwenye mbavu ya kwanza katikati nitakuwa nasumbuliwa na nini umri wangu miaka 25
Jaribu kupima saratani ya Titi kwanza alafu nitafute tujue tuanasaidianaje
 
Pole kwa maumivu,nenda hospital ukamuelezee dr ataweza ku diagnosis na kukupa ushauri /tiba.
 
Tangu saa kumi pananiuma ila nikimeza pantoplazole panaacha ata ivyo nataka ninywe saizi watu walivyoniambia tu ivyo nikaanza pantoplazole
 
Ulishawahi ugua vidonda vya tumbo??
Itakuwa gas...nenda kapime.
Gesi ilinisumbua sana kwa miezi mingi kila nikila chakula hata kama ni kidogo tumbo linajaa sana ilivyoisha hali ya gesi ndo pameanza kuniuma chini ya ziwa upande wa kushoto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…