Upande wa Pili wa Rose Muhando

Ila huwa haileti picha nzuri mwanaume kupoteza muda mtandaoni unatangaza mabaya ya mwanamke.

Kama una uwezo tumia uanaume wako kumrekebisha, wanawake hawatushindi sisi.
 
Hata wakina Chid Benz na Ray C walikuwa wanakataa hivi hivi lakini mwisho ikawa ni kwwli, uzuri huwa halifichiki.

Mwisho wa siku tutajua tu.
Kweli mchawi mtu paka anatumwa tu...
 
Kuna kiongozi mmoja anayeheshimika Kinataifa alimpa Ushauri Roze Mhando kuanza kunengua viuno Mbele ya Kanisa!
Sasa matokea ya Kunengua viuno akapata mimba
Kupata mimba wakati huna mume ni wazi kuwa hapo kuna uzinzi
Rose amekutwa mara kadha anakunywa viroba vya Pombe huku akiendelea kuhubiri wokovu
 
Alivyojikoboa sasa! Aaaaagh,, hadi chukizo!!
 
Vipele+Kujikuna+Ugonjwa kutoonekana+Sembe+Mimba ya Dansa wake+kulea mtoto+Kufulia===Lisemwalo Lipo Km Halipo Basis.....
Habari ya Rosi Muhando niliiona Kwenye Media Outlet ya KenYa na wao waliandika aya aya na hasa Kua DONA ndo chanzo
 
hahaha kumbe na muziki wa injir nao una mashabiki? haya mama endelea kuwafurahisha MASHABIKI wako hata kama huo muziki wako unamwudhi MUNGU.
Ulitaka awe mnafiki wakati huo ndio ukweli?
 
Hili swali huwa najiuliza sana ' kwa nini mtu afikirie kutumia madawa ya kulevya? Brain capacity au ni nini? ' hili swali ni kwa wale ambao unakuta hawana matatizo ya kiuchumi au matatizo kama watoto wa mitaani
 
Wherever you are Rose,just know that you have a father in heaven who real loves you no matter what....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…