Anaweza akawa anatumia kweli, maana amekuwa na troubled life alafu anaonekana kama mgomvi, flani hivi,
haya ukijumlisha na stress zinazoletwa na u super star unakuwa una face pressure kubwa sana na kutumia madawa ni nje nje
Mungu wake amsaidie
Anaweza akawa anatumia kweli, maana amekuwa na troubled life alafu anaonekana kama mgomvi, flani hivi,
haya ukijumlisha na stress zinazoletwa na u super star unakuwa una face pressure kubwa sana na kutumia madawa ni nje nje
Mungu wake amsaidie
Aende akafanyiwe maombi kama kweli anajipenda.
Bwn Yesu atamponya asifikiri ni michezo ya kuigiza.
Bwn anaponya akajinyenyekeze na kujishusha kwa Bwn!!
Jesus is Lord!!