Unaona sasa!!! nitashangaa sana kusikia mtu anakula nyama ya nguruwe, kama nguruwe ameweza kutatua shida yake, huyo ni ndugu, kwanini mtu umle ndugu yake
[emoji28] [emoji28] [emoji28] Wakipandikiza pua tutakuwa kama wazungu.
Moyo toka lini ukapenda kumbe kuna muda huwa hazimo eeeMatatizo ya moyo ni kiherehere chake, alikabidhiwa kazi ya kusukuma damu anajipa na overtime ya kupenda.
Wale mademu wanaopenda kuzamiwa huko chumvini watanikimbia.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kama nakuona vile utakavyokuwa una chimba chimba chini kwa pua
Good,kupanga ni kuchaguaDuniani ni mapito tu ndugu. Unaweza ukaekewa huo moyo na ukitoka tu spital ukafa kwa chengine.
Sijafanya research juu ya suala la matumizi ya kiungo cha mnyama huyo, nijuacho mimi ni kuwa tumekatazwa kumla.
Lakini ikitokea kuwa hata matumizi ya chochote kutoka kwake ni haram, basi siku ikifika ya kuchagua kuekewa kiungo icho au bora ukate maisha itakuwa ni sawa na kuchagua Akhera au Dunia.
Kwa mtu mwenye imani, Akhera ni chaguo sahihi.
Hahahaha daaaah kama nawaona vile[emoji28] [emoji28] [emoji28] Wakipandikiza pua tutakuwa kama wazungu.
Je hawaoni kama huyo nguruwe atakayedhurumiwa uhai wake kwaajili ya binadamu hatakuwa ametendewa haki?
Je kule nchi zisizokubaliana na nguruwe haya yatafanikiwaje?
Je hawajaona kuna umuhimu wa kuelekeza nguvu zaidi kutatua tatizo la moyo husika badala ya kutwaa moyo wa kiumbe mwingine?
Duuuhcapybara, Bonobos Love Doing It Wherever, Whenever, And With Whoever
Na huko utajakoenda baada ya kufa atakwambia " we ndo mjinga kweli mioyo ya nguruwe si ipo?"Bora nife tu kuliko kuwekewa najisi kwa minajili ya kuishi.
dogy hana miunoWe watakuunga cha mmbwa mkuu hatari lazima wazungu wakugombanie sana
Unashangaa unaanza kupendana Na manguruwe😂huo moyo 'utapenda' au utasukuma damu tu
Wasiwasi usije shangaa unapenda nguruwe.huo moyo 'utapenda' au utasukuma damu tu
Atahisi kama anakula nyama ya mtu😂Kwahiyo mtu atakaewekewa huo moyo wa nguruwe ataruhusiwa kula nyama ya nguruwe
Na bado mtaimba kila pambioAstaghafurahi
Halafu kweli ataweza kuumizwa na wivu wa mapenziAtahisi kama anakula nyama ya mtu😂
Je, huo moyo wa nguruwe una uwezo sawa kiutendaji na moyo wa binadamu?Wanasayansi kutoka Marekani na Ujerumani wamesema chini ya kipindi cha miaka 3, wataanza kutumia Moyo wa Nguruwe kuokoa maisha ya binadamu ambao wanahitaji moyo ili kuishi.
Majaribio ya kupandikiza moyo wa nguruwe kwa nyani yamefaulu kwa zaidi ya miaka miwili na wanasayansi hao wanaamini utakuwa salama kwa binadamu.
Upandikizaji wa moyo wa nguruwe unaweza kuokoa maisha ya wengi ambao hufariki kila mwaka kutokana na ukosefu wa viungo vya binadamu kwa upandikizaji.
Ndugu zangu waislamu niongeze volume au inatosha???View attachment 1187340
Je, huo moyo wa nguruwe una uwezo sawa kiutendaji na moyo wa binadamu?
Je, binadamu akishapandikizwa huo moyo wa nguruwe atakuwa na uwezo wa kuishi kwa miaka mingapi?
Je, baada ya kupandikizwa moyo wa nguruwe ikatokea binadamu amefikia hatua ya kufa anaweza kupandikizwa tena moyo mwingine ambao ni wa nguruwe?
Je, ni nguruwe wa aina yoyote ambaye moyo wake unaweza kupandikizwa katika mwili wa binadamu?
Nitaendelea kuuliza kadri nitakavyojibiwa