Kaiche
Senior Member
- Jan 23, 2017
- 147
- 297
Mwishoni mwa mwezi tano, Serikali ilitoa kibali cha upandishaji madaraja kwa watumishi wa serikali. Zoezi la upandishaji likaanza rasmi mwezi wa sita ambapo baadhi ya watumishi waliona mabadiliko katika mshahara na mabadiliko katika mfumo wa ESS.
Zoezi hili limegubikwa na sintofahamu kutokana na kuwa hadi sasa watumishi wengi hawajaona mabadiliko ya muundo katika Mfumo wa ESS katika kipengele cha Profile na kupelekea kuwa na MANUNG'UNIKO MAKUBWA .
Hadi sasa serikali kupitia utumishi haijatoa taarifa yoyote juu ya sintofahamu hii ya madaraja. Hali ya morali ya kazi imekuwa ndogo sana kwa watumishi.
TUNAOMBA SERIKALI ITOE TAMKO JUU YA JAMBO HILI.
Zoezi hili limegubikwa na sintofahamu kutokana na kuwa hadi sasa watumishi wengi hawajaona mabadiliko ya muundo katika Mfumo wa ESS katika kipengele cha Profile na kupelekea kuwa na MANUNG'UNIKO MAKUBWA .
Hadi sasa serikali kupitia utumishi haijatoa taarifa yoyote juu ya sintofahamu hii ya madaraja. Hali ya morali ya kazi imekuwa ndogo sana kwa watumishi.
TUNAOMBA SERIKALI ITOE TAMKO JUU YA JAMBO HILI.