Upandishaji wa madaraja kwa watumishi wa Serikali bado ni kizungumkuti

Upandishaji wa madaraja kwa watumishi wa Serikali bado ni kizungumkuti

Kaiche

Senior Member
Joined
Jan 23, 2017
Posts
147
Reaction score
297
Mwishoni mwa mwezi tano, Serikali ilitoa kibali cha upandishaji madaraja kwa watumishi wa serikali. Zoezi la upandishaji likaanza rasmi mwezi wa sita ambapo baadhi ya watumishi waliona mabadiliko katika mshahara na mabadiliko katika mfumo wa ESS.

Zoezi hili limegubikwa na sintofahamu kutokana na kuwa hadi sasa watumishi wengi hawajaona mabadiliko ya muundo katika Mfumo wa ESS katika kipengele cha Profile na kupelekea kuwa na MANUNG'UNIKO MAKUBWA .

Hadi sasa serikali kupitia utumishi haijatoa taarifa yoyote juu ya sintofahamu hii ya madaraja. Hali ya morali ya kazi imekuwa ndogo sana kwa watumishi.

TUNAOMBA SERIKALI ITOE TAMKO JUU YA JAMBO HILI.
 
Mwishoni mwa mwezi tano, Serikali ilitoa kibali cha upandishaji madaraja kwa watumishi wa serikali. Zoezi la upandishaji likaanza rasmi mwezi wa sita ambapo baadhi ya watumishi waliona mabadiliko katika mshahara na mabadiliko katika mfumo wa ESS.

Zoezi hili limegubikwa na sintofahamu kutokana na kuwa hadi sasa watumishi wengi hawajaona mabadiliko ya muundo katika Mfumo wa ESS katika kipengele cha Profile na kupelekea kuwa na MANUNG'UNIKO MAKUBWA .

Hadi sasa serikali kupitia utumishi haijatoa taarifa yoyote juu ya sintofahamu hii ya madaraja. Hali ya morali ya kazi imekuwa ndogo sana kwa watumishi.

TUNAOMBA SERIKALI ITOE TAMKO JUU YA JAMBO HILI.
Ni kweli, lakini tushukuru hata kwa hao baadhi waliozingatiwa. Na bado kwa hakika mchakato unaendelea.

Tupende maendeleo ya wengine na mafanikio yao, nasi tutafikiwa.
 
Nikweli hali inazidi kuwa Tete .Serikali ije na majibu watuweke wazi!Kwamba hata kama profile haijabadilika lkn mshahara wa July utabadirika kwa wenye sifa za kupanda daraja
 
TAMKO
Ndugu mtumishi wa umma tunalitambua Hilo na kazi inaendelea hivyo kuwa mvumilivu.
 
Nikweli hali inazidi kuwa Tete .Serikali ije na majibu watuweke wazi!Kwamba hata kama profile haijabadilika lkn mshahara wa July utabadirika kwa wenye sifa za kupanda daraja
Hyo ktu haipo,
June walidai hvyo lkn halikutokea , wa tz mnakos kumbukumb na kudanganywa
 
Ni kweli, lakini tushukuru hata kwa hao baadhi waliozingatiwa. Na bado kwa hakika mchakato unaendelea.

Tupende maendeleo ya wengine na mafanikio yao, nasi tutafikiwa.
Halafu changamoto iliyojitokeza tena,Kuna majina ambayo yalichambuliwa mapema mwaka huu ya watu wa mserereko mbaya Zaid majina ambayo yametumwa kwenye halmashauri hayazid 5000(,elfu tano)wakat wanaotakiwa kupandishwa vyeo Kwa njia ya msereeko ni 54000 serikali itoe tamko,hili jambo limeleta tahurukiSana kwenye vituo vya kazi
 
Halafu changamoto iliyojitokeza tena,Kuna majina ambayo yalichambuliwa mapema mwaka huu ya watu wa mserereko mbaya Zaid majina ambayo yametumwa kwenye halmashauri hayazid 5000(,elfu tano)wakat wanaotakiwa kupandishwa vyeo Kwa njia ya msereeko ni 54000 serikali itoe tamko,hili jambo limeleta tahurukiSana kwenye vituo vya kazi
Kwa ajili ya kawaida hv ni kweli wangepandishwa wote kwa budget gani
 
Ni kweli, lakini tushukuru hata kwa hao baadhi waliozingatiwa. Na bado kwa hakika mchakato unaendelea.

Tupende maendeleo ya wengine na mafanikio yao, nasi tutafikiwa.
Mkuu maendeleo ya wengine sisi yanatuhusu nini!. Kila mtu afe na chake.
 
Kwa ajili ya kawaida hv ni kweli wangepandishwa wote kwa budget gani
Sasa nikuulize mtumishi akiona mwenzake kapandishwa cheo halafu yeye kaachwa na wana changamoto zinazofanana anajisikiaje?pia kama ulimsikia Makamu wa Rais kwenye mei mosi ya mwaka huu alisema wstakaopandishwa vyeo bajet ya 2024/2025 ni 230,000/=Sasa wewe bajet unayoisema ni hipi?
Mkuu maendeleo ya wengine sisi yanatuhusu nini!. Kila mtu afe na chake.
Pia uyo aliyepandishwa ukilala njaa atakuletea ugali?
 
Wanaostahili wengi wamebafilishiwa.

Kuna changamoto Kwa waliowahi kupanda kimchongo. Kuna waliopanda wakiwa masomoni na wengine waliopanda wakiwa wanajitolea. Hawa watadugua benchi miaka tatu tena au wafunguliwe mashitaka.

Kwenye utumishi wa umma wanaolalamikia au kushughulikiwa mara nyingi wanamagumashi kibao.
 
Pongezi nyingi zimfikie Rais Samia kwa kujari masrahi ya watumishi wa umma,sidhni kama tutamuangusha oktoba 2025. ,by the way kuwa mvumilivu utapanda tu,mimi juni sikupanda ila mwezi huu imo,so worry not
 
Wanaostahili wengi wamebafilishiwa.

Kuna changamoto Kwa waliowahi kupanda kimchongo. Kuna waliopanda wakiwa masomoni na wengine waliopanda wakiwa wanajitolea. Hawa watadugua benchi miaka tatu tena au wafunguliwe mashitaka.

Kwenye utumishi wa umma wanaolalamikia au kushughulikiwa mara nyingi wanamagumashi kibao.
Hizi habari si sahihi , Kwan kunawatu wanasifa sawa tuu na hao waliorekebishiwa kwenye mfumo ila Bado hawajaona mabadiliko
 
Hizi habari si sahihi , Kwan kunawatu wanasifa sawa tuu na hao waliorekebishiwa kwenye mfumo ila Bado hawajaona mabadiliko
Sawa mkuu. Aliajiriwa lini,
Alikuwa na vyeti vyote?
Alithibutishwa lini?
Kwa mara ya kwanza alipanda lini?
Je alijiendeleza?


Tuwasiliane Kwa utulivu. Toa fact tu mkuu.
 
Mwishoni mwa mwezi tano, Serikali ilitoa kibali cha upandishaji madaraja kwa watumishi wa serikali. Zoezi la upandishaji likaanza rasmi mwezi wa sita ambapo baadhi ya watumishi waliona mabadiliko katika mshahara na mabadiliko katika mfumo wa ESS.

Zoezi hili limegubikwa na sintofahamu kutokana na kuwa hadi sasa watumishi wengi hawajaona mabadiliko ya muundo katika Mfumo wa ESS katika kipengele cha Profile na kupelekea kuwa na MANUNG'UNIKO MAKUBWA .

Hadi sasa serikali kupitia utumishi haijatoa taarifa yoyote juu ya sintofahamu hii ya madaraja. Hali ya morali ya kazi imekuwa ndogo sana kwa watumishi.

TUNAOMBA SERIKALI ITOE TAMKO JUU YA JAMBO HILI.
Jambo hili wife niliona ananung'unika pia. ninyi wafanyakazi wa serikali sometimes wazembe sana. Kati ya watu wanaotakiwa kutumbuliwa wapelekwe kwengine ni hao waliopo Ofisi ya Katibu Mkuu utumishi, na katibu mkuu mwenyewe wamwangalie. hawajatii maelekezo ya Rais kwani?
 
Mmedeliver nn na mmepata matokeo Gani mazuri Ili mpande madaraja nafikili NBS Tanzania ingekuwa inatoka graph trends Kwa kila idara zote za serikali kuonyesha performance zao na kila eneo Ili kuwapandisha na kuwapa bonus tu wale wanaoperfom vizuri Ili wengine wajifunze maana mtu kama mtu anakuwa rewarded with out showing case aaaaah something is wrong somewhere
 
Sawa mkuu. Aliajiriwa lini,
Alikuwa na vyeti vyote?
Alithibutishwa lini?
Kwa mara ya kwanza alipanda lini?
Je alijiendeleza?


Tuwasiliane Kwa utulivu. Toa fact tu mkuu.
Kuna mtu aliajiriwa 2010 akaja kupandishwa cheo 2019,lakin huyu mtu ameachwa,wengine aliajiriwa nao wamemtanguliana hakuwa na shauri lolote la nidhamu
 
Back
Top Bottom