Upandishaji wa madaraja kwa watumishi wa Serikali bado ni kizungumkuti

Ni kweli, lakini tushukuru hata kwa hao baadhi waliozingatiwa. Na bado kwa hakika mchakato unaendelea.

Tupende maendeleo ya wengine na mafanikio yao, nasi tutafikiwa.
wengi tuna maslahi na huo upandishwaji, wake zetu wanafanya huko huko utumishiw a umma na tunapenda wapande vyeo. inavyosemekana, kwa fununu, kule utumishi anayeweka watu kwenye mfumo ni mmoja tu naye ana masomo yupo shule, kwa hiyo mara aingize watu mara aende kufanya mitihani. hivi kumbe unaweza kukabidhi dhamana kubwa kama hii kwa mtu mmoja? kwani hakuna wafanyakazi wengine, au huyo ndio kashika hirizi wa katibu mkuu? fukuzia mbali watu wanaofanya kazi kwa udhaifu namna hii ati kwa kutegemea mtu mmoja. nataka kufikia leo jioni wife akirudi kazini aniambie mmempandisha. acheni uzembe wenu huko.
 
Nadhani mwezi huu wengi wataona mabadiliko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…