Upanga, Dar: Nyumba aliyodaiwa kuishi aliyewashambulia Polisi yazingirwa na Jeshi la Polisi

Msije mkasema laki 6 ya Mbowe ndio inafanya kazi, Hamza ni kada wa chama msije kutuchanganya
 
Kama ni hivyo basi Marekani kuna magaidi wengi sana mkuu aina kama ya Hamza.
 
Gaidi ni mtu yeyote ambaye anafanya mauaji kwa imani zake ziwe za kisiasa au dini. Huyu sio mwizi ni gaidi tupende tusipende.
Sawa ni gaidi je alikuwa anafanya ugaidi kushinikiza kitu gani kitimizwe?
 
kwa nini wafuasi wa Mbowe wamefurahia sana kitendo kilicho fanywa na Hamza cha kuuwa Askari Polisi watatu ? na kuona kama kitendo hicho kilicho fanywa na Hamza dhidi ya Polisi ni cha kishujaa?!!!
Jeshi letu lazima litupie macho makali kwa hawa wahuni wachache.
 
26 August 2021
Upanga, Jijini Dar es Salaam
Tanzania


WATU WANAOMFAHAMU HAMZA PAMOJA NA FAMILIA KWA UNDANI , WAZUNGUMZA WANAYOFAHAMU KUHUSU MAISHA YA KILA SIKU YA HAMZA

Amezaliwa wapi, shule akasoma wapi ndani na nje ya nchi, muda wake akiwa vijiweni, siku mgodi ukitema madini Hamza hufanya nini, story zake akiwa na washikaji zake mtaani n.k
Source : TIKI TV
 
Wacha tuone ila naanza kujiuliza taarifa ya uchunguzi kama itakuwa ni ya kitaalamu au yataibuka mengine.

Zikiibuliwa elements za ugali, nashauri tuwashirikishe FBI maana sisi ........
usiogope tuna mawakili imara sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…