Upangaji matokeo Daraja la Kwanza : Maamuzi ni haya

Anafungiwa kocha msaidizi na siyo kocha mkuu kwa sababu gani?
 
Hivi hizo fine hasa kwa wachezaji zinakusanywaje? Na je kuna namna yoyote ya kuwabana wasipolipa?
 
Kwani haiwezekani kocha msaidizi akashiriki ,kocha mkuu asishiriki?
Acha kuwa na akili ya kushikiriwa wewe, Haya inakuwaje timu zote wafungiwe makocha wasaidizi tu!!!! Hakuna timu ambayo kocha mkuu alishiriki????? Maamuzi ya kijanga haya.
 
Geita Gold wasema wapo tayari kupeleka Ushahidi Wa Audio viongoz wa tff wakiomba rushwa ili wasaidiwe katika mipango ya kusaidiwa.
 
Hukumu hii ni kwa mujibu wa sheria gani au maamuzi ya utashi wa TFF tu? Kama kosa lilikuwa kupanga matokeo kwanini maamuzi hayako sawa?
 
Timu anayoinoa Kocha Selemani Matola
ya Geita Gold Mine imeteremshwa daraja
hadi la pili.
Geita imepatikana katika hatia ya upangaji
matokeo katika mechi yao ya mwisho ya
Ligi Daraja la Kwanza dhidi ya JKT
Kanembwa ambayo pia imeteremshwa
daraja.
Katika mechi hiyo, Geita Gold Mine
ilishinda kwa mabao 8-0 na JKT Oljoro
ikakubali kipigo cha mabao 7-0 kutoka
kwa Polisi Tabora, timu hizo mbili pia
zimeteremshwa daraja pia kwa
kuhusishwa na upangaji wa matokeo.
Ila JKT Kanembwa iliyokuwa imeteremka
daraja yenye inashushwa hadi Ligi ya
Mkoa.
Uamuzi huo wa kamati ya nidhamu ya
TFF, umetangazwa leo mchana lakini
uongozi wa Geita Gold Mine umesisitiza
kwamba utakata rufaa kwa kuwa hakuna
sehemu inayoonyesha timu yao ilipanga
matokeo.
 
Geita Gold wasema wapo tayari kupeleka Ushahidi Wa Audio viongoz wa tff wakiomba rushwa ili wasaidiwe katika mipango ya kusaidiwa.
Wasiupeleke ushahidi wao kwenye kamati ya nidhamu waje kulia lia sa hivi!! Ingawa kuna asilimia zaid ya 70 viongozi wa TFF kuhusika sababu Juhudi za Geita kubebwa zilionekana mwaanzo kabisa mwa Ligi
 
Kama imeonekana kwamba kulikuwa na matukio ya rushwa hii ni kesi ya TAKUKURU. Hivi TAKUKURU wananga nini mbona kila kitu kiko wazi? Ni vyema hili suala lisipigwe danadana lipelekwe TAKUKURU ili kukomesha vitendo kama hivi katika soka letu.
 
Milion 10 na kufungiwa maisha! Nilipe ili nipate nini sasa? Yaani unahukumiwa adhabu ya kifo na faini juu?
 
Acha kuwa na akili ya kushikiriwa wewe, Haya inakuwaje timu zote wafungiwe makocha wasaidizi tu!!!! Hakuna timu ambayo kocha mkuu alishiriki????? Maamuzi ya kijanga haya.
Akili za kushikiwa ndio zikoje ?
Match fixation watu wanakaa wanapanga so huamini kama wanaweza wakaamua kuwashirikisha makocha wasaidizi tu ?
 
Akili za kushikiwa ndio zikoje ?
Match fixation watu wanakaa wanapanga so huamini kama wanaweza wakaamua kuwashirikisha makocha wasaidizi tu ?
Hakuna kitu kama hicho wewe, Labda wewe ni Seleman Matola ndio maana unapinga hili lakin kwa hali ya kawaida lazima makocha hao wote wamehusika katika hiyo mipango.
 
Akili za kushikiwa ndio zikoje ?
Match fixation watu wanakaa wanapanga so huamini kama wanaweza wakaamua kuwashirikisha makocha wasaidizi tu ?
Hakuna kitu kama hicho wewe, Labda wewe ni Seleman Matola ndio maana unapinga hili lakin kwa hali ya kawaida lazima makocha hao wote wamehusika katika hiyo mipango.
 
Hakuna kitu kama hicho wewe, Labda wewe ni Seleman Matola ndio maana unapinga hili lakin kwa hali ya kawaida lazima makocha hao wote wamehusika katika hiyo mipango.
Kwa akili yako ya kawaida ndio haiwezekani,wanapopanga hayo mambo sio watu wote wanaoshirikishwa.Fuatilia scandal ya Calciopoli kule Italy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…