Muda mwingine tafakari mambo kabla hujacomment, unataka kuniambia timu zote nne makocha wakuu hawakujua hii michongo!!! Haya kama Kocha wa Kanembwa hakujua, Je, na yule wa Geita nae hakujua kweli!!! Kwanza sitaki kuamini hicho kitu kabisa, Hii issue kama asingalikuwa matola ndio adhabu ingalitolewa kwa usawa.Kwa akili yako ya kawaida ndio haiwezekani,wanapopanga hayo mambo sio watu wote wanaoshirikishwa.Fuatilia scandal ya Calciopoli kule Italy
Ishu sio kujua ishu umehusikaje kupanga matokeoMuda mwingine tafakari mambo kabla hujacomment, unataka kuniambia timu zote nne makocha wakuu hawakujua hii michongo!!! Haya kama Kocha wa Kanembwa hakujua, Je, na yule wa Geita nae hakujua kweli!!! Kwanza sitaki kuamini hicho kitu kabisa, Hii issue kama asingalikuwa matola ndio adhabu ingalitolewa kwa usawa.
Inashangaza aisee.Adhabu ya kifo na faini,Silipi alafu wanihukumu tena maisha iwe double maisha?Kha eti mil 10 na kufungiwa maisha!Huyu jamaa wa TFF ni donda ndugu