King Leon 1
JF-Expert Member
- Oct 25, 2019
- 245
- 342
Katika hali ya kushangaza sana ,Club ya Uhamiaji FC ya Zanzibar inayoshiriki mashindano ya Shirikisho Africa imekubaliana na Al ahly Tripoli ya Libya kuwa mechi zao zote zitapigwa Libya kwa sababu ambazo hazina mashiko kuwa za kiusalama na makubaliano baina ya timu izo mbili.
Sasa kati ya Zanzibar na Libya wapi kuna usalama? Mseme ukweli tu mmepewa rushwa na kupanga matokeo . Ndio maana mpira wa Zanzibar haukui na wote wanashabikia timu za bara tu. Zanzibar ijitafakari na CAF iingilie kati huu upangaji matokeo wa wazi.
Soma Pia:TFF na ZFF zimejaa Rushwa, tuzidi kuziripoti moja kwa moja FIFA na CAF
Sasa kati ya Zanzibar na Libya wapi kuna usalama? Mseme ukweli tu mmepewa rushwa na kupanga matokeo . Ndio maana mpira wa Zanzibar haukui na wote wanashabikia timu za bara tu. Zanzibar ijitafakari na CAF iingilie kati huu upangaji matokeo wa wazi.
Soma Pia:TFF na ZFF zimejaa Rushwa, tuzidi kuziripoti moja kwa moja FIFA na CAF