Upangaji wa matokeo ya kidato cha nne 2012.

Upangaji wa matokeo ya kidato cha nne 2012.

gody mwa

Member
Joined
May 7, 2013
Posts
21
Reaction score
0
Ndugu wana jf, uamuzi uliochukuliwa na selikar wa kupanga matokeo ya kidato cha nne ni mzur na una manufaa kwa nchi na raia wake,wewe unaepinga nikwamba ujui machungu wanayo yapata wazaz na wanafunz ambao wanategemea elim kuwa mkomboz wa maisha yao. ujue kuna watu ambao mpaka sasa wako dilema hawaijui kesho yao kutokana na mfumo mbovu walioutumia wa upangaji wa matokeo ya kidato cha nne ambao uko tofauti na wa miaka iliyopita yaan tangu 1973.mungu ibarik Tanzania,mungu ibarik Afrika
 
Ndugu wana jf, uamuzi
uliochukuliwa na selikar wa kupanga matokeo ya kidato cha nne ni mzur na
una manufaa kwa nchi na raia wake,wewe unaepinga nikwamba ujui machungu
wanayo yapata wazaz na wanafunz ambao wanategemea elim kuwa mkomboz wa
maisha yao. ujue kuna watu ambao mpaka sasa wako dilema hawaijui kesho
yao kutokana na mfumo mbovu walioutumia wa upangaji wa matokeo ya kidato
cha nne ambao uko tofauti na wa miaka iliyopita yaan tangu 1973.mungu
ibarik Tanzania,mungu ibarik Afrika

UMETIMIZA WAJIBU WAKO WA KUTOA MAONI KAMA MTANZANIA.
Hongera kwa kuijua vizuri katiba ya nchi..
Wasalimu wote hapo wizarani.
 
Ndugu wana jf, uamuzi uliochukuliwa na selikar wa kupanga matokeo ya kidato cha nne ni mzur na una manufaa kwa nchi na raia wake,wewe unaepinga nikwamba ujui machungu wanayo yapata wazaz na wanafunz ambao wanategemea elim kuwa mkomboz wa maisha yao. ujue kuna watu ambao mpaka sasa wako dilema hawaijui kesho yao kutokana na mfumo mbovu walioutumia wa upangaji wa matokeo ya kidato cha nne ambao uko tofauti na wa miaka iliyopita yaan tangu 1973.mungu ibarik Tanzania,mungu ibarik Afrika

Ni kweli mkuu na kubariana na wewe upo sawa kabisaaa
 
kakojoe ulale kama akili yako imeishia hapo kufikiri unawaza nini kuhusu hili
pics.jpg
 
kakojoe ulale kama akili yako imeishia hapo kufikiri unawaza nini kuhusu hili
pics.jpg
mkuu mbona girls watupu hao bila shaka watakuwa wanafunzi wa marian's girls au feza girls
 
Ndugu wana jf, uamuzi uliochukuliwa na selikar wa kupanga matokeo ya kidato cha nne ni mzur na una manufaa kwa nchi na raia wake,wewe unaepinga nikwamba ujui machungu wanayo yapata wazaz na wanafunz ambao wanategemea elim kuwa mkomboz wa maisha yao. ujue kuna watu ambao mpaka sasa wako dilema hawaijui kesho yao kutokana na mfumo mbovu walioutumia wa upangaji wa matokeo ya kidato cha nne ambao uko tofauti na wa miaka iliyopita yaan tangu 1973.mungu ibarik Tanzania,mungu ibarik Afrika

uandikayo ni sawa,je wapasishwe hata kama hawana vigezo?me nimesimamia mtihan mwaka jana shule fulan hapa dar,wanafunz ukishagawa karatasa wanalala hadi mwisho,hawa nao unawazungumziaje?
 
Ndugu wana jf, uamuzi uliochukuliwa na selikar wa kupanga matokeo ya kidato cha nne ni mzur na una manufaa kwa nchi na raia wake,wewe unaepinga nikwamba ujui machungu wanayo yapata wazaz na wanafunz ambao wanategemea elim kuwa mkomboz wa maisha yao. ujue kuna watu ambao mpaka sasa wako dilema hawaijui kesho yao kutokana na mfumo mbovu walioutumia wa upangaji wa matokeo ya kidato cha nne ambao uko tofauti na wa miaka iliyopita yaan tangu 1973.mungu ibarik Tanzania,mungu ibarik Afrika
Ni kilaza tu anayeweza kuongea utumbo kama huu hicho cheti kitakubaliwa na mwajiri gani wakati itaeleweka vyeti vya elimu ya Tanzania ni vya kuchonga? Yani inabidi akuulize kama chet ni cha standardization au halisi? Na kuna haja gani ya kuwa na waalimu wazuri wakati matokeo yakitoka tunaweza kuyawekea viwango vya kuyafanya yawe mazuri? kuna haja gani kugharamia mifumo au maslahi ya walimu wakati ufaulu utapangwa mezani? Na je hilo sio tangazo tosha kwamba matokeo hayawezi kutangazwa mpaka wanasiasa wayaangalie na kuongezeaongezea ili yawape ujiko? huo ndio mwanzo na mwisho wa kifo cha elimu ya Tanzania. Ninachoona mimi matokeo yangeachwa kama yalivyo ila watangaziwe wale wanaoona matokeo yao sio mazuri wajiandikishe watungiwe supplementary examinations; wakipata score nzuri kuliko za awali wachukue hizo wakipata chini ya pale waendelee kudumu na matokea yao ya mwanzo.
 
uandikayo ni sawa,je wapasishwe hata kama hawana vigezo?me nimesimamia mtihan mwaka jana shule fulan hapa dar,wanafunz ukishagawa karatasa wanalala hadi mwisho,hawa nao unawazungumziaje?

sizungumzii watoto wasiojua umuhim wa elim bali namaanisha kuna watoto wana uwezo mzur tena sanaa! wamepata 4 mfano 4 za 26 na 27 afu wametoka familia za kimaskin na wanapenda shule ivi uon kuwa wakipanga kufuata mfumo wa kale hao wanaweza kufanya vizur?
 
Unapochanganya siasa na taaluma usitegemee kupata cream nzuri bali ili mradi rangi ya cream. kwa uamuzi huo wa serikali ni kuwaingilia wanataaluma kwa masilahi ya kisiasa. ikiwa tumefanikiwa kufaulisha wanafunzi wasiojua kusoma wala kuandika kwenda sekondari sijui hii season tunakusudia kufaulisha wanafunzi wa aina gani.
 
sizungumzii watoto wasiojua umuhim wa elim bali namaanisha kuna watoto wana uwezo mzur tena sanaa! wamepata 4 mfano 4 za 26 na 27 afu wametoka familia za kimaskin na wanapenda shule ivi uon kuwa wakipanga kufuata mfumo wa kale hao wanaweza kufanya vizur?

Kwanza inatakiwa tupige kura ya maoni division four iwe D saba maana hii ya D mbili imepitwa na wakati, ila hata wafanye nini fainali chuoni kwani kama umepita kwa bahati O level hata kama A level utafaulu na kwenda chuo wengi wao ndio wale wale wanao disco kwani elimu ya O level ndio mambo yote kwani A level ni kujazia nyama tu
 
Ni kilaza tu anayeweza kuongea utumbo kama huu hicho cheti kitakubaliwa na mwajiri gani wakati itaeleweka vyeti vya elimu ya Tanzania ni vya kuchonga? Yani inabidi akuulize kama chet ni cha standardization au halisi? Na kuna haja gani ya kuwa na waalimu wazuri wakati matokeo yakitoka tunaweza kuyawekea viwango vya kuyafanya yawe mazuri? kuna haja gani kugharamia mifumo au maslahi ya walimu wakati ufaulu utapangwa mezani? Na je hilo sio tangazo tosha kwamba matokeo hayawezi kutangazwa mpaka wanasiasa wayaangalie na kuongezeaongezea ili yawape ujiko? huo ndio mwanzo na mwisho wa kifo cha elimu ya Tanzania. Ninachoona mimi matokeo yangeachwa kama yalivyo ila watangaziwe wale wanaoona matokeo yao sio mazuri wajiandikishe watungiwe supplementary examinations; wakipata score nzuri kuliko za awali wachukue hizo wakipata chini ya pale waendelee kudumu na matokea yao ya mwanzo.

watu wote wakiwa na mawazo kama haya elimu yetu itaenda mbali
 
Back
Top Bottom