Upangaji wa mechi za Mapinduzi Cup ni mbeleko za wazi kabisa kuisafishia njia Simba ifike fainali kwa wepesi, hakuna usawa!

Upangaji wa mechi za Mapinduzi Cup ni mbeleko za wazi kabisa kuisafishia njia Simba ifike fainali kwa wepesi, hakuna usawa!

Kwasababu Simba ni timu kubwa so kisheria haiwezi kupangwa na timu ndogo kwenye hatua za awali

Unafatilia kanuni za CAF?

Lini uliona Al Ahly kapangwa na Zamaleki au Wydad kwenye hatua za mwanzo?
Kweni hayo ni mashindano ya CAF?
 
Usiumize kichwa hilo kombe lina nuksi ukichukua tu basi ujiandae kwa lolote
 
Kwani hujui kuwa kundi gumu ni hilo la simba,hao singida si yanga b au hujui
 
Kundi la Yanga kila timu inaleta competition, KMKM mabingwa wa ligi zenji na singida united wapo nafasi ya nne ligi kuu.

hilo kundi la simba kuna competition ipi ?

Singida big stars ni Yanga B mbona mzito sana kuelewa mkuu?[emoji276]
 
Kwa ule mpira wa Simba, hayo makundi yote hapo juu ni mepesi kwake, labda mkaitafutie timu nyingine nje ya hayo makundi.
Mkuu huyo Simba anaongoza kwa gap la point ngapi huko BARA?
 
Kundi A: Azam, Malindi na Jamhuri.
Kundi B: Yanga, Singida BS na KMKM.
Kundi C: Simba, Mlandege na KVZ.
Kundi D: Namungo, Aigle Noir na Chipkizi.

kwahiyo hii mapinduzi cup wameona yanga ndo wa kumweka kundi moja na vidume wenzie kwenye kundi B. ?

kundi B ni kundi pekee ambalo kuna timu mbili za ligi ya bara na mabingwa wa lihi ya bara na zanzibar, Yanga ni mabingwa wa ligi kuu bara, KMKM ni mabingwa wa ligi kuu ya Zanzibar na Singida united wamo 4 bora kwenye ligi kuu bara.

hawaishii hapo tu, bingwa wa kundi B anaenda kucheza na bingwa wa Kundi A ambae si ajabu atakuwa ni Azam fc.

Tukija kwa upande wa watani waliomo Kundi C, hali ni tofauti, wamepangwa na timu zote za zanzibar, wakipita wanaenda kucheza nusu fainali na bingwa wa kundi D na Namungo ambao nao wamepangiwa timu za kujipigia,

Simba anaenda kucheza nusu fainali na Namungo, timu ambayo haimo hata 4 bora kwenye ligi kuu, ni dhahiri kabisa simba anamfunga na kutinga fainali kirahisi
Haya waambie uto wenzako Mlandege alikufanya nini mwaka jana
 
Utopolo hata baadae itaendelea kuwa na wazee wa hovyo tu[emoji23][emoji23][emoji23]hivi fikiria kutakuwa na mzee haji manara dah

Hivi mmepanda mtumbwi au boti za Azam?????

Waambieni wazee wenu wa hovyo baniani mbaya kiatu chake dawa...


Hatuchejyi ,hatuchejyi
 
Kundi la Yanga kila timu inaleta competition, KMKM mabingwa wa ligi zenji na singida united wapo nafasi ya nne ligi kuu.
hilo kundi la simba kuna competition ipi ?
Mkuu, hata Mapinduzi Cup nayo ni ya kuitolea macho kiasi cha kulalamikia makundi?
 
Singida ni Yanga B kwani mna wasi wasi gani,umesahau mlivyompatia Mayele Hat trick
 
Kwa ule mpira wa Simba, hayo makundi yote hapo juu ni mepesi kwake, labda mkaitafutie timu nyingine nje ya hayo makundi.
Aisee!! At the end of the day, Mlandege wakala kichwa. 😃
 
Back
Top Bottom