Upangaji wa mikoa kwa waalimu

Upangaji wa mikoa kwa waalimu

Realbest

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2013
Posts
812
Reaction score
300
Wadau nlikuwa napenda kujua hv upangaji wa majina kwa ajiri ya post za waalmu ulfanyika? na je wanao husika na upangaji wa ni TAMISEMI au wizara
 
Ualimu nayo ni kazi ya kukaa unasubiri uajiriwe kweli?
 
Mim nimemaanisha ualimu co kazi ya kukaa kusubiri uajiriwe kama fani nyingne coz mtaani kuna shule nying na center nying sana za kufundisha.sasa nashangaa nyie maticha mnavonituc bila hata huruma kijana wa watu.
 
Achana naye huyo, yy anafikiri bila mwalm angejua hcho alchokiandika,
 
Nielekeze jinsi ya kuandika private msg
 
Wadau nlikuwa napenda kujua hv upangaji wa majina kwa ajiri ya post za waalmu ulfanyika? na je wanao husika na upangaji wa ni TAMISEMI au wizara

TAMISEMI au wizara?
kwani TAMISEMI ni nini mwalimu?
 
Ualimu nayo ni kazi ya kukaa unasubiri uajiriwe kweli?
hapo hujatoa jibu pimbi wewe isipokuwa umeonesha dharau kwenye kazi iliyo kufanya wewe ujue kusoma na kuandika huu upup wako mata*o wewe, acha kudharau daraja lililo kuvusha mto kima wewe.
 
Back
Top Bottom