Upanuzi barabara Bagamoyo, Kawawa na Mwenge anayeelewa haya atueleze

Upanuzi barabara Bagamoyo, Kawawa na Mwenge anayeelewa haya atueleze

kmbwembwe

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2012
Posts
10,892
Reaction score
7,780
Hivi jamani kuna mtu anaelewa kitu gani kinaendelea upanuzi wa barabara kati ya kawawa road na mwenge atueleweshe.

Hapo kinachoonekana kila siku ni vurugu tu mtu hupati picha kitu gani kinafanyika. Mara magari yahamishwe huku mara kule huku siku zinaenda mtu hupati picha kitu gani wanafanya.

Unakua na mashaka kama kweli kuna maelewano ya wahandisi au wakandarasi. Ingekua vizuri Rais atembelee hapo nina hakika moto utawaka.
 
Mkuu,sisi tushukuru kwa kila jambo tuu
 
Nasikia ujenzi wa njia 8 lakini sizielewi, kuna mwenye ramani ya hii barabara atusaidie
 
Hivi jamani kuna mtu anaelewa kitu gani kinaendelea upanuzi wa barabara kati ya kawawa road na mwenge atueleweshe. Hapo kinachoonekana kila siku ni vurugu tu mtu hupati picha kitu gani kinafanyika. Mara magari yahamishwe huku mara kule huku siku zinaenda mtu hupati picha kitu gani wanafanya. Unakua na mashaka kama kweli kuna maelewano wa wahandisi au wakandarasi. Ingekua vizuri rais atembelee hapo nina hakika moto utawaka.
Unataka uelewe nini
 
Hivi jamani kuna mtu anaelewa kitu gani kinaendelea upanuzi wa barabara kati ya kawawa road na mwenge atueleweshe. Hapo kinachoonekana kila siku ni vurugu tu mtu hupati picha kitu gani kinafanyika. Mara magari yahamishwe huku mara kule huku siku zinaenda mtu hupati picha kitu gani wanafanya. Unakua na mashaka kama kweli kuna maelewano wa wahandisi au wakandarasi. Ingekua vizuri rais atembelee hapo nina hakika moto utawaka.
BARABARA ya bagamoyo ROAD????
HOW???
 
Hivi jamani kuna mtu anaelewa kitu gani kinaendelea upanuzi wa barabara kati ya kawawa road na mwenge atueleweshe.

Hapo kinachoonekana kila siku ni vurugu tu mtu hupati picha kitu gani kinafanyika. Mara magari yahamishwe huku mara kule huku siku zinaenda mtu hupati picha kitu gani wanafanya.

Unakua na mashaka kama kweli kuna maelewano wa wahandisi au wakandarasi. Ingekua vizuri Rais atembelee hapo nina hakika moto utawaka.
Barabara zinatengenezwa pembeni katikati itakuja kupita barabara ya mwendokasi kuanzia morocco mpaka tegeta huko

Hizo purukushani unazoziona wanapanua barabara za magari ili ziwe pembeni
 
Hivi jamani kuna mtu anaelewa kitu gani kinaendelea upanuzi wa barabara kati ya kawawa road na mwenge atueleweshe.

Hapo kinachoonekana kila siku ni vurugu tu mtu hupati picha kitu gani kinafanyika. Mara magari yahamishwe huku mara kule huku siku zinaenda mtu hupati picha kitu gani wanafanya.

Unakua na mashaka kama kweli kuna maelewano wa wahandisi au wakandarasi. Ingekua vizuri Rais atembelee hapo nina hakika moto utawaka.
Du...mkuu una kichwa kizito sana.
Unaona lakini huelewi.

Lakini hata darasani huwa kuna slow learners, ambao kuelewa mpaka miguu iwekwe kwenye ndoo ya maji baridi!

Kwa sie tunaopita na kuelewa kinachoendelea hebu jijibu maswali uafuatayo;

1. Toka Mwenge hadi Sayansi, kuelekea mjini, unapita njia gani?

2.Leo toka Sayansi hadi Mwenge umepita njia gani?

3.Toka Sayansi hadi Victoria kuna kazi za lami pale, je ulitaka upite kwenye ile inayowekwa lami, sasa itajengwaje bila kukuchepusha ili kazi ifanyike?

4.Toka Victoria hadi Morocco kuna kazi za lami na mitaro pale, sasa mtoa mada ulitaka upitishwe mitaroni?

Kimsingi hata mwanafunzi wa chekechea anaweza kuona kinachoendelea, tatizo ni watu kuto appreciate kazi za uumbaji zinazofanywa na binadamu.

Na pengine kuelewa kuwa kujenga miundombinu si sawa sawa na kutungua shati dukani na ukalivaa.
 
Nasikia ujenzi wa njia 8 lakini sizielewi, kuna mwenye ramani ya hii barabara atusaidie
Hapo zinajengwa njia nne, mbili kwenda, mbili kurudi. Then katikati inaachwa nafasi kwa ajili ya ujenzi wa mwendo kasi phase itakayofuta baada ya ile ya gongo la mboto kukamilika.
 
Kawaida ya barabara inapokuwa inatengenezwa ni vurugu tupu.
 
Hapo zinajengwa njia nne, mbili kwenda, mbili kurudi. Then katikati inaachwa nafasi kwa ajili ya ujenzi wa mwendo kasi phase itakayofuta baada ya ile ya gongo la mboto kukamilika.
Sasa mbona wamekazana njia 8, mimi nikawa nashangaa mbona sizioni.
 
Ushamba tu ndio kinachokusumbua

Tembea ujue barabara zinavyokua bro

Ujenzi nadhani upo 80% kumalizika tunaotumia hii barabara kwa kuendesha utapata picha ila ukipanda daladala utaona miujiza

Tayari line 6 ziko tayari bado 2 na marekebisho fulani na uchoraji

Hata Mwendokasi ikiwa inajengwa amkuelewa ila now picha ilionekana
 
Sasa mbona wamekazana njia 8, mimi nikawa nashangaa mbona sizioni.
Utaonaje sasa kama echa ndio zinatimua vile

Acha wenge shuka tizama upana wa barabara

Pale magari 8 bwashe

4 kwenda 4 Kurudi

Kwani mwanzo zilikua ngap kama unakumbuka🚶🏿
 
Back
Top Bottom