Upara

Upara

dabluz

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2013
Posts
2,456
Reaction score
1,672
Katika jambo ambalo sikuwahi kulijua ama kufikiria nikuwa, mwanamke anaweza kuwa nakipara. Nimeshaona wenye ndevu na garden love lakini kipara hapana, ila nilipigwa nabutwaa juzi kati baada ya ana kwa ana kumuona mama mtanashati akiwa nakipara chenye kung'aa vizuri kama vile aliekuwa waziri wa fedha Mh Mkulo.
Nilitaka nimpige picha lakini alinitolea macho ikabidi niingie mitini maana ingekuwa kesi.
Jaman kuna yeyote aliwahi kuona huko hii kitu?
 
Back
Top Bottom