Upatikanaji wa Dollar za Marekani limekuwa tatizo lisilovumumilika Tanzania

Upatikanaji wa Dollar za Marekani limekuwa tatizo lisilovumumilika Tanzania

peno hasegawa

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2016
Posts
14,255
Reaction score
23,949
Nimefika bank Moja nchini kubwa kununua USD 10,000 Kwa ajili ya kukununulia gari nchini Japan.

Nilichkokutana nacho ni kuuziwa USD 500 tu!

Kuna shida ya USD nchini na BOT wamepiga kimya!

Kibao cha kuonyesha exchange rate Kiko na kimeandika bei ya USD Kwa siku hiyo ila no USD,,!

Ni nini msimamo au kauli ya serikali ya TANZANIA kuhusuana na jambo hili?
 
Hivi huwa unanunua dollar kwa ajili ya kununua garo Japan? Au ni swift tu (transactions)
 
Hivi huwa unanunua dollar kwa ajili ya kununua garo Japan? Au ni swift tu (transactions)
Nilienda NMB eti wananiambia kufanya transaction mwisho $1000 kwa siku. Au niwaombe wabadirishe currency ya kuuziaga gari labda itoke $ iwe Yuan sijui. Imabidi nikalipie Beforward. Wao wanaongezea karibia Tsh 150 kwenye kila $ 1. Niliumia sana.
 
Nilienda NMB eti wananiambia kufanya transaction mwisho $1000 kwa siku. Au niwaombe wabadirishe currency ya kuuziaga gari labda itoke $ iwe Yuan sijui. Imabidi nikalipie Beforward. Wao wanaongezea karibia Tsh 150 kwenye kila $ 1. Niliumia sana.
Watu wameficha bilions of money in usd kwa ajili ya uchaguzi halafu hao hao useme watatue tatizo la kukosekana dolari hilo haliwezekani ujue.
 
Hivi huwa unanunua dollar kwa ajili ya kununua garo Japan? Au ni swift tu (transactions)
Swift ni mtandao wa kutuma pesa kibenki duniani. Ukinunua gari Japan wanataka uwatumie dolla. Sasa benki zetu au benki kuu haina dolla za kutosha kwenye account zao na mabenki makuu ya kimataifa. Kwa hiyo wanakwambia hatuna dollar
 
Sasa hao wajapan kwanini nao wanaikataa hela yao hiyo Yen?
 
Back
Top Bottom